Dagaa wote watamu inategemea na unavyowaandaa1. Kuwadanganya watu wa mwanza kuwa dagaa zao ni tamu kushinda dagaa Mchele wa pwani na dar na WA majichumvi huu unafiki nmeuvumilia mda MREFU sana kiukweli dagaa watamu ni wa 1. DAR, 2.MWANZA ,3KIGOMA
WALE WA KIGOMA HAWANA RADHA YEYOTE
2.Unafiki wa pili ni Kwa watumishi wengi wa UMMA na WASANII wote kuwa CCM aisee hili ni sio tu unafiki ni ujinga we need to be free in this world than being controlled
3.watanzania wote kuamini kuwa ili uwe mtanzania lazima ushabikie Simba na yanga.
Umemaliza kila kitu.Dagaa wote watamu inategemea na unavyowaandaa
Wa Bukoba ni wasomi au ziwa victoria lina location ya VVIP?Bora hata wa Bukoba kuliko hao wa mwanza
Wanaume kama mabintiUnafiki wa tatu na ujinga ni humu watoto wa kiume kujifanya mademu wakiongozwa na kariakoo finest
Inasikitisha sana 😀Wanaume kama mabinti
Wa bukoba ni wazur tu kwa macho ila sio watamu,Bora hata wa Bukoba kuliko hao wa mwanza
Watapata wanachokitafutaInasikitisha sana 😀
Wanasiasa kusalimia salamu za dini kila mahali.1. Kuwadanganya watu wa mwanza kuwa dagaa zao ni tamu kushinda dagaa Mchele wa pwani na dar na WA majichumvi huu unafiki nmeuvumilia mda MREFU sana kiukweli dagaa watamu ni wa 1. DAR, 2.MWANZA ,3KIGOMA
WALE WA KIGOMA HAWANA RADHA YEYOTE
2.Unafiki wa pili ni Kwa watumishi wengi wa UMMA na WASANII wote kuwa CCM aisee hili ni sio tu unafiki ni ujinga we need to be free in this world than being controlled
3.watanzania wote kuamini kuwa ili uwe mtanzania lazima ushabikie Simba na yanga.
Ningeshangaa January ipite bila kujadili dagaa na uzuri wake🙌Sijaona dagaa wabaya daga wazuri sana ila una wapikaje mkuu dagaa watamu sana ukipika na ugali pilipili kwa uwingi
“RADHA”1. Kuwadanganya watu wa mwanza kuwa dagaa zao ni tamu kushinda dagaa Mchele wa pwani na dar na WA majichumvi huu unafiki nmeuvumilia mda MREFU sana kiukweli dagaa watamu ni wa 1. DAR, 2.MWANZA ,3KIGOMA
WALE WA KIGOMA HAWANA RADHA YEYOTE
2.Unafiki wa pili ni Kwa watumishi wengi wa UMMA na WASANII wote kuwa CCM aisee hili ni sio tu unafiki ni ujinga we need to be free in this world than being controlled
3.watanzania wote kuamini kuwa ili uwe mtanzania lazima ushabikie Simba na yanga.
Unafki mwingine eti rudini bongo kumenoga .Unafiki wa tatu na ujinga ni humu watoto wa kiume kujifanya mademu wakiongozwa na kariakoo finest