William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
[h=3][/h]

- Ukweli ni kwamba Serikali inahitaji kujiangalia upya na haya mambo kwa sababu hayatokei kwa bahati mbaya, kwa nini wananchi wanalilia posho kubwa ni kwa sababu wameona pesa za umma zinatumika hovyo hovyo bila melezo na wao sasa wanataka kuzitumia pia, I mean Tume imetumia Billioni 70 kutengeneza Rasimu, halafu zimetumika Bilioni 8.2 kukarabati Bunge kwa ajili ya kukaa chini kwa siku 70 tu, sasa kwa msururu huo wa matumizi ya ajabu namna hiyo unategmea nini kutoka kwa wananchi wa bunge la katiba si na wao wanataka kuchota laki saba kwa siku, yes kama wajumbe wa Rasimu walikuwa wanachota 647,000 kwa siku kwa nini na wao wasichote pia?
- I mean juzi usiku nikiwa Dodoma nilikutana na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mahesabu kwa masaa mengi nikaamuliza hizi pesa zote zimetokea wapi na ziliidhinishwa na nani matumizi yake hata yeye hakuwa na jibu la uhakika, sasa hili Taifa tunategemea nini hasa? Na huwezi kuwa na akili timamu ukasema ni kosa la Rais sasa tunataka Rais afanye kazi za Kamati ya bunge ya mahesabu?
-So nimeamua kuikata kata hii ishu vipande vipande kwenye makala yangu ya kila Jumapili kesho kwenye Gazeti la Jambo Leo.
Le Mutuz

- Ukweli ni kwamba Serikali inahitaji kujiangalia upya na haya mambo kwa sababu hayatokei kwa bahati mbaya, kwa nini wananchi wanalilia posho kubwa ni kwa sababu wameona pesa za umma zinatumika hovyo hovyo bila melezo na wao sasa wanataka kuzitumia pia, I mean Tume imetumia Billioni 70 kutengeneza Rasimu, halafu zimetumika Bilioni 8.2 kukarabati Bunge kwa ajili ya kukaa chini kwa siku 70 tu, sasa kwa msururu huo wa matumizi ya ajabu namna hiyo unategmea nini kutoka kwa wananchi wa bunge la katiba si na wao wanataka kuchota laki saba kwa siku, yes kama wajumbe wa Rasimu walikuwa wanachota 647,000 kwa siku kwa nini na wao wasichote pia?
- I mean juzi usiku nikiwa Dodoma nilikutana na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mahesabu kwa masaa mengi nikaamuliza hizi pesa zote zimetokea wapi na ziliidhinishwa na nani matumizi yake hata yeye hakuwa na jibu la uhakika, sasa hili Taifa tunategemea nini hasa? Na huwezi kuwa na akili timamu ukasema ni kosa la Rais sasa tunataka Rais afanye kazi za Kamati ya bunge ya mahesabu?
-So nimeamua kuikata kata hii ishu vipande vipande kwenye makala yangu ya kila Jumapili kesho kwenye Gazeti la Jambo Leo.
Le Mutuz