lynxeffect22
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 626
- 250
- Wajumbe wa Kamati ya Mahesabu ya bunge ndio wahusika wa hili 100% na sio wote ni CCM kaka!!
Le Mutuz
kaka kuna saa unaongea pumba tu
na exposure yote ya kukaa marekani siamini unaandika hiki
kwa kukusaidia tu matumizi ya serikali ya tanzania huanzia huko huko serikalini....na kwa uhuni wa serikali ya awamu ya nne (sina uhakika na awamu nyingine), kuna matumizi mengi sana ambayo hayana utaratibu ndio maana unakuta kamati haina taarifa wala meno ya kudhibiti.....hivi hata hupanui ubongo wako kujiuliza kuna pesa kiasi gani kimetumika nje ya budget awamu hii ya nne huku budget husika ikiwa na.upungufu wa hela maeneo mengi?