Unafiki na Ukweli wa Posho Bunge Jipya la Katiba Sisi ni Wanafiki Mno!!

Unafiki na Ukweli wa Posho Bunge Jipya la Katiba Sisi ni Wanafiki Mno!!

Mbona unachonga sana au haumo kwenye mgao nini?leo ndo naona kwa mara ya kwanza tangu nizaliwe(ukiachilia mbali baba wa taifa) mwana ccm anaonea uchungu fedha ya nchi.ila nina wasi wasi mgao ulimpita kando ndo maana anachonga
 
Hoja yako ina maslahi kwa taifa kama kweli inatoka moyoni! Tatizo la taifa letu linaanzia serikalini na kuingia mpaka bungeni! Mathalani wabunge wanapitisha bajeti ya mabilioni yasiyo na maelezo ya kutosheleza kwa ushabiki tu wa vyama wawepo bungeni! Mfano halis ni bilion 29 zilizopitishwa bungeni kishabiki na kuwekwa kwenye kitengo cha 'Presidential delivery unit" wakati ni fedha za kulipana posho zisizo na kichwa wala miguu! Kamati ya mahesabu ya bunge inafanya ukaguzi baada ya matumizi, na huo ndo ukweli!
 
- Yaani Rais ashuke chini mpaka kwenye haya mambo na wakati Kamati ya Bunge ipo? Haiwezekani!!

Le Mutuz
yeye ndo muamuzi wa mwisho, hivyo lazima aone mantiki ya kile anachoshauriwa ili akibariki au akatae vyenginevyo itakuwa hakuna haja ya yeye kuwepo katika nafasi hiyo kama kila kitu anachoshauriwa anafata tu bila kuhoji.
 
Hapa wapinzani wameingizwa mkenge ili wachafuke pamoja na chama tawala. Kama watu wanalalama kuwa laki 3 wanazolipwa bado ni nyingi na wapinzani wamechelewa kupinga hiyo laki 3 wakiashiria ni sahihi. Watakuja kuwambia wananchi kuwa wanauchungu na nji hii kweli? Wameshapoteza credibility ya kutetea wanyonge, ccm walisha chafuka jamii kubwa inajua hilo hivyo imewakumbatia wapinzani ili tope la ccm libaki kwenye nguo za wapinzani kupitia posho za laki 3 kwa siku. Wajue kwamba ccm licha ya uchafu bado inawafuasi wengi hasa vijijini, wapinzani walitakiwa kujibehave vyema maana wako kwenye matazamio kwa sasa. Kulilia posho au kukalia kimya posho ya laki 3 kwa siku wakati wanachuo wa saint John na Udom wakipewa posho ya 7500 kwa siku na wanaishi Dodoma mjini ambapo ndipo bunge lipo ni kuwadharau watanzania. Mimi naona watanzania tuache ushabiki wa kisiasa ifike mahala tukosoe chama chochote,dini yeyote au kiongozi yeyote anaekwenda kinyume na matakwa ya jamii, bila kujali itikadi zetu jamani.
 
Hapa wapinzani wameingizwa mkenge ili wachafuke pamoja na chama tawala. Kama watu wanalalama kuwa laki 3 wanazolipwa bado ni nyingi na wapinzani wamechelewa kupinga hiyo laki 3 wakiashiria ni sahihi. Watakuja kuwambia wananchi kuwa wanauchungu na nji hii kweli? Wameshapoteza credibility ya kutetea wanyonge, ccm walisha chafuka jamii kubwa inajua hilo hivyo imewakumbatia wapinzani ili tope la ccm libaki kwenye nguo za wapinzani kupitia posho za laki 3 kwa siku. Wajue kwamba ccm licha ya uchafu bado inawafuasi wengi hasa vijijini, wapinzani walitakiwa kujibehave vyema maana wako kwenye matazamio kwa sasa. Kulilia posho au kukalia kimya posho ya laki 3 kwa siku wakati wanachuo wa saint John na Udom wakipewa posho ya 7500 kwa siku na wanaishi Dodoma mjini ambapo ndipo bunge lipo ni kuwadharau watanzania. Mimi naona watanzania tuache ushabiki wa kisiasa ifike mahala tukosoe chama chochote,dini yeyote au kiongozi yeyote anaekwenda kinyume na matakwa ya jamii, bila kujali itikadi zetu jamani.

Una akili na uzalendo wa kweli sana mkuu NJALI na ndio maana wewe sio mwanasiasa!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
[h=3][/h]

- Ukweli ni kwamba Serikali inahitaji kujiangalia upya na haya mambo kwa sababu hayatokei kwa bahati mbaya, kwa nini wananchi wanalilia posho kubwa ni kwa sababu wameona pesa za umma zinatumika hovyo hovyo bila melezo na wao sasa wanataka kuzitumia pia, I mean Tume imetumia Billioni 70 kutengeneza Rasimu, halafu zimetumika Bilioni 8.2 kukarabati Bunge kwa ajili ya kukaa chini kwa siku 70 tu, sasa kwa msururu huo wa matumizi ya ajabu namna hiyo unategmea nini kutoka kwa wananchi wa bunge la katiba si na wao wanataka kuchota laki saba kwa siku, yes kama wajumbe wa Rasimu walikuwa wanachota 647,000 kwa siku kwa nini na wao wasichote pia?

- I mean juzi usiku nikiwa Dodoma nilikutana na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mahesabu kwa masaa mengi nikaamuliza hizi pesa zote zimetokea wapi na ziliidhinishwa na nani matumizi yake hata yeye hakuwa na jibu la uhakika, sasa hili Taifa tunategemea nini hasa? Na huwezi kuwa na akili timamu ukasema ni kosa la Rais sasa tunataka Rais afanye kazi za Kamati ya bunge ya mahesabu?

-So nimeamua kuikata kata hii ishu vipande vipande kwenye makala yangu ya kila Jumapili kesho kwenye Gazeti la Jambo Leo.

Le Mutuz

Hvi ulivy na akili ndogo hvyo unaweza kuandika makala kweli na ikasomwa na watu wenye akili timamu? Ama kweli nimeamini hata lile tamko la mzee wewe ndio ulimwandikia.
 
Jamani jadilini kwa nia njema.(1) kwa nini wajumbe wa visiwani wapewe laki 4? (2)wajumbe wa bara laki 3?
 
Hapa wapinzani wameingizwa mkenge ili wachafuke pamoja na chama tawala. Kama watu wanalalama kuwa laki 3 wanazolipwa bado ni nyingi na wapinzani wamechelewa kupinga hiyo laki 3 wakiashiria ni sahihi. Watakuja kuwambia wananchi kuwa wanauchungu na nji hii kweli? Wameshapoteza credibility ya kutetea wanyonge, ccm walisha chafuka jamii kubwa inajua hilo hivyo imewakumbatia wapinzani ili tope la ccm libaki kwenye nguo za wapinzani kupitia posho za laki 3 kwa siku. Wajue kwamba ccm licha ya uchafu bado inawafuasi wengi hasa vijijini, wapinzani walitakiwa kujibehave vyema maana wako kwenye matazamio kwa sasa. Kulilia posho au kukalia kimya posho ya laki 3 kwa siku wakati wanachuo wa saint John na Udom wakipewa posho ya 7500 kwa siku na wanaishi Dodoma mjini ambapo ndipo bunge lipo ni kuwadharau watanzania. Mimi naona watanzania tuache ushabiki wa kisiasa ifike mahala tukosoe chama chochote,dini yeyote au kiongozi yeyote anaekwenda kinyume na matakwa ya jamii, bila kujali itikadi zetu jamani.

Hii imetulia, watz wamegeuka kuwa kondoo wa sufi. Huu ni muda muafaka wa kukataa huu ubabaishaji haijalishi ni nani anahusika awe CDM, CCM, CUF. Mwislamu, Mkristo etc.
Jamani, laki tatu ni mshahara wa mtu wa mwezi, na kama hiyo haitoshi watumishi wa ngazi za juu za serikali wanapokuwa nje ya mikoa yao ya kazi ikiwemo Dodoma ni laki ngapi wanalipwa? Nne, tano au...., iweje hawa waje na mahitaji yao yanayotia kichefuchefu.
Kwani hii serikali haina mipngozo ya kulipa watu per diem, ni kwa nini isitumiye hiyo miongozo na badala yake inapoteza kodi yetu bure. Mijitu imemaliza wiki na hakuna la maana linaloendelea, inajadili tu minyoo ya matumbo yao nasi tumekaa kimya kama kondoo wanaonyolewa sufi.

Tz yenye neema italetwa na watz wasotaka huu upuuzi, tofauti na hapo ni biashara kama juzi, jana na kesho.
 
Kwahyo unataka watu zaidi ya 90 kila mmoja aje hapa JF aseme mimi fulani napinga kuongezwa posho, Please hebu tuacheni kujadili kama vile tunalazimishwa

sina maana hiyo, maana yangu ni nyepesi sana yaani siku ya jumatatu wanaopinga wasaini kitabu kitakachopitishwa na mtatiro kwa ajili ya kupata idadi yao ili atimize azma yake ya kumwandikia barua rais kutoridhia hilo ongezeko. hiyo ndio njia nyepesi na formal kwa wajumbe kuonesha misimamo yao.
 
Back
Top Bottom