Unafikiri kwa nini mara zote uchaguzi mkuu unapokaribia wapinzani lazima wapoteane?

Unafikiri kwa nini mara zote uchaguzi mkuu unapokaribia wapinzani lazima wapoteane?

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Great thinkers.

Shida ya wapinzani wetu nini?.
1.Milungula kutoka CCM?
2.Urafi wa madaraka?.
Mara zote Hakuna mkate.mgumu mbele ya chai. Acha CCM watunyooshe kama tutaemdelea kuwategemea wapinzani chumia tumbo kutusemea matatizo yetu huku tumelala
 
Mwaka huu Lissu kawahi kupoteana, yaani anataka afunge magoli timu ya Chadema na timu ya CCM papo, matokeo yake wenzake wameanza kumshambulia, na uchaguzi mkuu kura zake Chadema watazihujumu
 
Nchi hii. ukishakuwa mkusanya kodi, kuna nguvu ya ziada inakuwa nyuma yako
 
Back
Top Bottom