Unafikiri Wazungu na jamii za Asia zinaichukuliaje ndoa?

Unafikiri Wazungu na jamii za Asia zinaichukuliaje ndoa?

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Kuna watu humu sijui ni ushamba, sijui ni ulimbukeni, sijui na kukosa elimu ya Dini, sijui ni kukosa elimu ya Kadi(jando na unyago) sijui ni kukosa elimu ya Sheria, basi tuu wanajifanya wanausasa lakini kimsingi ni kuwa wamechanganyikiwa na hawajui wamechanganyikiwa.

Utasikia Kwa Wazungu ndoa sio muhimu😀😀 Nani kasema, au Wazungu wa Kwa mtogole. Hakuna jamii yoyote duniani isiyojua thamani ya ndoa.

Ndoa ndio msingi wa Taifa.

Kwa kiumbe Seli ndio small unit of life,

Na Kwa taifa Ndoa ndio msingi wa nchi.

Niliwahi kusema kuwa taifa lolote ili lianguke basi chakwanza kitakachoshambuliwa ni ishu ya Ndoa,"familia" W Wazungu walikuwa watu wa kwanza kuerevuka na kustaarabika ndio maana wakaondoka kwenye Ndoa ya wake wengi mpaka kuwa ndoa ya Mke mmoja ili kupungua mifarakano na kuleta ufanisi katika maendeleo ya nchi.

Kufupisha Stori ingia kwenye Mtandao alafu search magrupu ya Wazungu au mataifa ya Ulaya na Asia alafu angalia Mitazamo ya jamii hizo kuhusu ndoa.
 
Screenshot_2022-07-21-15-48-00-49_f598e1360c96b5a5aa16536c303cff92.jpg
 
Ancient Hindu wisdom has a saying, "The Goddess gets blis from two things, eating up the weak men and surrendering to the great Man who overpowers Her". This aspect of the Goddess was held back for a long time & will be revealed in this era.
 

 
Wazungu hawa wa Craigslist wanaotaka wake zao wanyanduliwe na wanaume wengine?? Ndio walio starabika?😳
 
Hako kadada kazuri kwenye hiyo picha ni zendaya na bila shaka yeye hajasema hivyo bali watu huamua tu kuchukua picha za celebrities na kubandika maneno yao. na bila shaka soon enough tom holland atakajaza mimba na ndoa kwa mpigo.

Wanaopinga ndoa ni wajinga na watoto wanaobalehe na misisimko yao inawafanya waone ndoa na kutulia na mwanamke mmoja ni mzigo mzito ila siku wakikua na kupata akili ndio watajua na kuona uhalisia wa maisha.
Then watatambua ndoa ni muhimu na inevitable kwenye maisha ya binadamu.
 
Hako kadada kazuri kwenye hiyo picha ni zendaya na bila shaka yeye hajasema hivyo bali watu huamua tu kuchukua picha za celebrities na kubandika maneno yao. na bila shaka soon enough tom holland atakajaza mimba na ndoa kwa mpigo.

Wanaopinga ndoa ni wajinga na watoto wanaobalehe na misisimko yao inawafanya waone ndoa na kutulia na mwanamke mmoja ni mzigo mzito ila siku wakikua na kupata akili ndio watajua na kuona uhalisia wa maisha.
Then watatambua ndoa ni muhimu na inevitable kwenye maisha ya binadamu.

😀😀😀
 
Back
Top Bottom