Unafikiria nini kuhusu Wanawake wa JamiiForums?

Napendaga maandiko yako, uko vizuri mkuu.
 
Expectations vs reality, nyie ndiyo mnaotukimbia njiani tukionana sababu unaexpect kukutana na malaika hivi kumbe ni binadamu mwenzio tu mwenye mapungufu yake.

Watu waliomo humu, ndiyo hao hao unaoshinda nao mitaani huko.
Amna bhana, kiukwel sipo serious kiasi hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…