Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Angalia hubby wako asije akakuona akachukulia siriazi akageuka Uchebe. Asante kwa matani rafiki yangu. I like funny and jovial people. Maisha haya mafupi ati !!!Ooh haya makopa kopa hadi usingizi umepaa, thank you[emoji179][emoji307]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na yako tunaisoma piaa[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dahWanakusalimia [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Mtuvumilie tuwengi wao wanaringa sana kumbe hamna kitu
Nakupa taahadhari muogope sana mwanamke anaeijua jf tena na anaeitumia yaani braza nasisitiza sana mwogope.Habari za mda huu wanaJf
Poleni na majukumu (kwa wale wataftaji)
Hongera kwao pia. MUNGU awajalie katika utaftaji wenu (kwa wale wafanyao shughuli halali)
Kama kichwa kinavyojieleza pale juu.. kwa kuanza na Mimi nafikiria kwamba
1. Wapole
2. Wanaakili za maisha
3. Wengi wao ni umri (25_35)
4. Wengi wameolewa
5. Sio wambea kivile
6. Hawatongozwi kiraisi[emoji23]
7. Wengi wa dar es salaam
8. Huwai kupika mapemaa
9. Warembo kinoma
10. Walezi wazuri wa familia
11. Hawapendi hela kivile[emoji23]
12. Upendo wa dhati
13. Aaaaa ongezea na wewe uwafikiriavyo[emoji116][emoji116]
aaaaah wewe upo real sana,my superwomen[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Mtuvumilie tu
Mhhhhhh!!aaaaah wewe upo real sana,my superwomen