Unafuta Sherehe za Uhuru kuokoa pesa wakati huo huo wale wote walio husika na upigaji report ya CAG mwaka huu umewasamehe kwa asilia 100

Unafuta Sherehe za Uhuru kuokoa pesa wakati huo huo wale wote walio husika na upigaji report ya CAG mwaka huu umewasamehe kwa asilia 100

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Rasi Samia anafanya hadaaa za kiwango cha juu kabisa, na pia anacheza na akili za wajinga kwenye hii Jamhuri ilio jaa wajinga.
Report ya CAG mwaka huu watuhumiwa wote wamesamehewa kwa asilimia 100 kwa kuombewa msamaha na kamati ya CCM ya kuombea watuhumiwa mbalia mbali msamaha kwa raisi.

Wakurugenzi wa Halimashauri ahadi walio toa wakati wanasamehewa ni kuhakikisha CCM inashinda kwa asilimia zote na ndicho walicho fanya uchaguzi wa Serikali za mitaa na warudia teba kwa uchahaguzi mkuu.

Report ya mwaka huu wamesamehe2a plus hata ya mwaka jana nao pia walisamehewa na adhabu kubwa walio pewa ni kuitwa stupidy.

Hii ya kuokoa eti pesa za sherehe ya uhuru ni hadaa kubwa sana, huwezi sitisha sherehe za uhuru kwqmba unaokoa pesa wakati huo huo unawasamehe mafisadi wanao piga Billions of Money za hii nchi.

Na kuna wajinga watakubaliana na hizi hadaa.
 
Hapo ni sawa na saidi kumuita side jina ni lile lile tuu tofauti utamkaji na ukihoji kwa nini yana kukuta ya abdul nondo
 
Rasi Samia anafanya hadaaa za kiwango cha juu kabisa, na pia anacheza na akili za wajinga kwenye hii Jamhuri ilio jaa wajinga.
Report ya CAG mwaka huu watuhumiwa wote wamesamehewa kwa asilimia 100 kwa kuombewa msamaha na kamati ya CCM ya kuombea watuhumiwa mbalia mbali msamaha kwa raisi.

Wakurugenzi wa Halimashauri ahadi walio toa wakati wanasamehewa ni kuhakikisha CCM inashinda kwa asilimia zote na ndicho walicho fanya uchaguzi wa Serikali za mitaa na warudia teba kwa uchahaguzi mkuu.

Report ya mwaka huu wamesamehe2a plus hata ya mwaka jana nao pia walisamehewa na adhabu kubwa walio pewa ni kuitwa stupidy.

Hii ya kuokoa eti pesa za sherehe ya uhuru ni hadaa kubwa sana, huwezi sitisha sherehe za uhuru kwqmba unaokoa pesa wakati huo huo unawasamehe mafisadi wanao piga Billions of Money za hii nchi.

Na kuna wajinga watakubaliana na hizi hadaa.
Unajuaje kama wamesamehewa? Au ulitaka mama naye aje manukwani kuwatumbua hadharani au kiwahukumu hadharani kama alivyokuwa anafanya yule bwana asiyefata utaratibu na sheria zinasemaje. Mahakama ndo yenye mandate ya kujua au kumconvict mtu kuwa ni fisadi au la! na siyo rais
 
Rasi Samia anafanya hadaaa za kiwango cha juu kabisa, na pia anacheza na akili za wajinga kwenye hii Jamhuri ilio jaa wajinga.
Report ya CAG mwaka huu watuhumiwa wote wamesamehewa kwa asilimia 100 kwa kuombewa msamaha na kamati ya CCM ya kuombea watuhumiwa mbalia mbali msamaha kwa raisi.

Wakurugenzi wa Halimashauri ahadi walio toa wakati wanasamehewa ni kuhakikisha CCM inashinda kwa asilimia zote na ndicho walicho fanya uchaguzi wa Serikali za mitaa na warudia teba kwa uchahaguzi mkuu.

Report ya mwaka huu wamesamehe2a plus hata ya mwaka jana nao pia walisamehewa na adhabu kubwa walio pewa ni kuitwa stupidy.

Hii ya kuokoa eti pesa za sherehe ya uhuru ni hadaa kubwa sana, huwezi sitisha sherehe za uhuru kwqmba unaokoa pesa wakati huo huo unawasamehe mafisadi wanao piga Billions of Money za hii nchi.

Na kuna wajinga watakubaliana na hizi hadaa.
Kufuta sherehe za Uhuru ni dalili ya ufisadi na udikteta uliokomaa.
 
There is nothing we are serious with and we will never!
 
Unajuaje kama wamesamehewa? Au ulitaka mama naye aje manukwani kuwatumbua hadharani au kiwahukumu hadharani kama alivyokuwa anafanya yule bwana asiyefata utaratibu na sheria zinasemaje. Mahakama ndo yenye mandate ya kujua au kumconvict mtu kuwa ni fisadi au la! na siyo rais
Kwa hio wako Jela?
 
Nililetaga Uzi kipindi cha hayawani jiwe.
Bajeti ya sherehe ilipangwa ukiwa madarakani then wewe unapangua.
It's madness
 
Back
Top Bottom