Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kufa ni mabayaMadam?Sijiombei mabaya
Kifo ni kifo tu .Sijui ila natamani kisiwe kifo cha mateso
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu mama yako atakua alikua anakupa samaki wabichi ukiwa mdg[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Wewe huamini miungu 17,999
Mimi siamini miungu 18,000
Hatutofautiani sana mkuu[emoji28]
80+ tayari utakuwa nuisance kwa watoto wako na jamii kwa ujumla! Ndio maana wenzetu wazungu wanawapeleka kwenye shelter homes, 80+ ni usumbufu mm nna babu yangu ana 85 ni msumbufu tu.Nikifika 80+ ndio tuanze kuongea habari za kifo changu. Ila I need a peaceful death, nisisumbue watu wangu.
Taikon ,Si utakufa ukiwa katika harakati za fasihi.Nitakufa nikiwa nina miaka 84.
Itakuwa imenitosha na nimeridhika nayo.
Kama itakuwa chini ya hapo basi Haki itaniua
Nakuonea wivu kwenye umri huo ,eee Mungu na mimi nipe umri kama huyu jamaaNitakufa Nina miaka 150,sura. Hadi macho yangu yatakua mazima na ngozi isiyo na makunyanzi!!
Nikiwa kitandani nimepumzika siku hiyo baada ya kuwasimulia wajukuu habari za heka heka za uchaguzi was 2015 na kifo Cha jpm 2021, na kutogombea Kwa mama Samia 2025!pia nitakua nyumba ndogo sio hii kubwa niliopo!!
Nitasimulia jinsi dar es salaam ilivyoangamia 2024 Mei 20!!
Wakati huo nikiwa ni mstaafu makam wa pili wa Raise wa Tanzania!nikiwa na watoto 12 na wajukuu zaidi 24!!
Nadhani ni hapo mwaka (2024+150=2174)!!
Nadhani!!
Mungu anilinde na kunijaalia uhai was miaka mingi sana!!!
Acha niendelee kujilinda dhidi ya pombe na uasherati kama nifanyavyo kwa muda mreeefu sana!!
Na Mungu was majeshi ayajibu maombi yangu ameen!!
Taikon ,Si utakufa ukiwa katika harakati za fasihi.
Watu wamepigwa mpaka risasi 16 na hawakufa mkuu..Duh aisee mpaka risasi imo wewe ni mtu hatari