BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Nahisi ntabondwa nyundo kwenye komwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣😂😂😂😂😂😂 watu wabayaa wachawiWatu mna wivu hata kwenye namna ya kifo cha mtu anavyojitabiria.
Waliojitabiria kufa vibaya haujatoa maoni yoyote, Ila huyu aliejitabiria kufa kifo chema unamjia juu...
Ama kweli tunaishi na watu wabaya sana.
AmiinNimekubariki…. Nimefurah
Kuwa utafanya Cohort study kwa huyo jamaa
Utadumu
Hakuna anaejali kuliko Mwingine.Oa mkuuSijui ila nitakua peke yangu labda watashtuka baada ya siku mbili mbele
Hakuna anaejali kuhusu mimi.
Hatutakufa bali tutaishiHakuna ajuaye atakufa lini na wapi ila kwa lifestyle lako na Mazingira ya kazi unajionaje vyanzo gani unahisi huenda vikakusababishia umauti.Mimi kuna homa ya matonses,ini au figo,kupigwa shoti ya umeme au gas kulipuka hivyo vitu vinanitia wasiwasi sana na niko navyo makini kinyama.
Bata mzee hakuna kingine ni bataVijana under 45 wanakufa sana siku za hvi karibuni tatizo ni nini wakuu.
Halafu Nyie mnao react kwenge hii👆 comment yangu with "thanks " mananitakia nini? Sikufi sasa.Mungu aniepushe Tuu,
Ila Nawaza sana Ajari, hasa ukizingatia ninavyosafiri na zaidi usiku.
Wee jamaa Mbona umeandika mada ngumu sana?.Umewaza nini mkuu?.Hakuna ajuaye atakufa lini na wapi ila kwa lifestyle lako na Mazingira ya kazi unajionaje vyanzo gani unahisi huenda vikakusababishia umauti.Mimi kuna homa ya matonses,ini au figo,kupigwa shoti ya umeme au gas kulipuka hivyo vitu vinanitia wasiwasi sana na niko navyo makini kinyama.
Ooh wanajali sema hujui tuSijui ila nitakua peke yangu labda watashtuka baada ya siku mbili mbele
Hakuna anaejali kuhusu mimi.
Nahisi ntabondwa nyundo kwenye komwe
Mimi namuachia Allah tu
Punguza matumizi ya mihadarati.Nitakufa Nina miaka 150,sura. Hadi macho yangu yatakua mazima na ngozi isiyo na makunyanzi!!
Nikiwa kitandani nimepumzika siku hiyo baada ya kuwasimulia wajukuu habari za heka heka za uchaguzi was 2015 na kifo Cha jpm 2021, na kutogombea Kwa mama Samia 2025!pia nitakua nyumba ndogo sio hii kubwa niliopo!!
Nitasimulia jinsi dar es salaam ilivyoangamia 2024 Mei 20!!
Wakati huo nikiwa ni mstaafu makam wa pili wa Raise wa Tanzania!nikiwa na watoto 12 na wajukuu zaidi 24!!
Nadhani ni hapo mwaka (2024+150=2174)!!
Nadhani!!
Mungu anilinde na kunijaalia uhai was miaka mingi sana!!!
Acha niendelee kujilinda dhidi ya pombe na uasherati kama nifanyavyo kwa muda mreeefu sana!!
Na Mungu was majeshi ayajibu maombi yangu ameen!!
Fantasy kama fantasy!Punguza matumizi ya mihadarati.