Unahisi kifo chako kitasababishwa na nini?

Unahisi kifo chako kitasababishwa na nini?

Hakuna ajuaye atakufa lini na wapi ila kwa lifestyle lako na Mazingira ya kazi unajionaje vyanzo gani unahisi huenda vikakusababishia umauti.Mimi kuna homa ya matonses,ini au figo,kupigwa shoti ya umeme au gas kulipuka hivyo vitu vinanitia wasiwasi sana na niko navyo makini kinyama.


Ondoa hayo mawazo, utakufa mapema
 
nitakufa katika uzee mwema kabisaa. 97 years.
Nimeoza wanangu na nimewaona wajukuu na vitukuu mpaka vilembwe.
Nitakufa kwasababu ya utu uzima tu/uzee. Nitafia usingizini pale Aga khan.

1.Kwnini Umechagua Aga Khan na Sio Muhimbili?
2.Hata kama ukiwa Mtu Mzima lazima Utakufa kwa Either Strock,Kifua,Sukari,Au maradhi yeyote yale…

Niambie Nani Unaemjua Kafa bila ugonjwa?
Huko kufia Usingizini wanakuwaga na Either Shinikizo la Damu au au Heart attack Kaka…Yaani Inakuwa Kimya Kimya!
ni basi tuu watu tunakuwa hatujui!
Niambie hata Kiongozi gani Mkubwa kafa na Umri mkubwa bila Kuugua?
 
1.Kwnini Umechagua Aga Khan na Sio Muhimbili?
2.Hata kama ukiwa Mtu Mzima lazima Utakufa kwa Either Strock,Kifua,Sukari,Au maradhi yeyote yale…

Niambie Nani Unaemjua Kafa bila ugonjwa?
Huko kufia Usingizini wanakuwaga na Either Shinikizo la Damu au au Heart attack Kaka…Yaani Inakuwa Kimya Kimya!
ni basi tuu watu tunakuwa hatujui!
Niambie hata Kiongozi gani Mkubwa kafa na Umri mkubwa bila Kuugua?
Muhimbili huwa naenda kuona wagonjwa tu. Si mahala napendelea kupata matibabu
 
Nitakufa Nina miaka 150,sura. Hadi macho yangu yatakua mazima na ngozi isiyo na makunyanzi!!
Nikiwa kitandani nimepumzika siku hiyo baada ya kuwasimulia wajukuu habari za heka heka za uchaguzi was 2015 na kifo Cha jpm 2021, na kutogombea Kwa mama Samia 2025!pia nitakua nyumba ndogo sio hii kubwa niliopo!!

Nitasimulia jinsi dar es salaam ilivyoangamia 2024 Mei 20!!

Wakati huo nikiwa ni mstaafu makam wa pili wa Raise wa Tanzania!nikiwa na watoto 12 na wajukuu zaidi 24!!

Nadhani ni hapo mwaka (2024+150=2174)!!

Nadhani!!

Mungu anilinde na kunijaalia uhai was miaka mingi sana!!!

Acha niendelee kujilinda dhidi ya pombe na uasherati kama nifanyavyo kwa muda mreeefu sana!!

Na Mungu was majeshi ayajibu maombi yangu ameen!!

Nakupunguzia miaka 60

Utaishi miaka 93

Bless you
 
Back
Top Bottom