Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Nitapelekwa pale for checkup before i leaveAga Khan utakwenda kulala siku hiyo au itakuwa nyumba ya wazee?
Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitapelekwa pale for checkup before i leaveAga Khan utakwenda kulala siku hiyo au itakuwa nyumba ya wazee?
Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
Ukiwa unapaa utakufa kwa kukosa oxygen huko anga za mbali ,au utapaa na space suitMi kwa ninavyojiona kwa hizi mbungi zangu
Sitakufa kabisa yani nikifikisha miaka 90+ ntapaaa zangu mbinguni kwenda kulakiwa na bwana Yesu
Mungu aepushe! Sijawahi pata mkasa wa namna hyoVipi moto
Hakuna ajuaye atakufa lini na wapi ila kwa lifestyle lako na Mazingira ya kazi unajionaje vyanzo gani unahisi huenda vikakusababishia umauti.Mimi kuna homa ya matonses,ini au figo,kupigwa shoti ya umeme au gas kulipuka hivyo vitu vinanitia wasiwasi sana na niko navyo makini kinyama.
Hi ni kulingana na kazi zako za unyang'anyi wa kutumia bombaSomebody gonna kill me km sio na risasi basi nitachomwa na kisu km nilikoswakoswa nitawekewa Sumu kwenye chakula, nikikoswa koswa kote huko basi moyo utajizima wenyewe
I'm Out
😂😂😂 Sawa mkuu,Hi ni kulingana na kazi zako za unyang'anyi wa kutumia bomba
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Acha masihara mkuu 😁😁
nitakufa katika uzee mwema kabisaa. 97 years.
Nimeoza wanangu na nimewaona wajukuu na vitukuu mpaka vilembwe.
Nitakufa kwasababu ya utu uzima tu/uzee. Nitafia usingizini pale Aga khan.
Muhimbili huwa naenda kuona wagonjwa tu. Si mahala napendelea kupata matibabu1.Kwnini Umechagua Aga Khan na Sio Muhimbili?
2.Hata kama ukiwa Mtu Mzima lazima Utakufa kwa Either Strock,Kifua,Sukari,Au maradhi yeyote yale…
Niambie Nani Unaemjua Kafa bila ugonjwa?
Huko kufia Usingizini wanakuwaga na Either Shinikizo la Damu au au Heart attack Kaka…Yaani Inakuwa Kimya Kimya!
ni basi tuu watu tunakuwa hatujui!
Niambie hata Kiongozi gani Mkubwa kafa na Umri mkubwa bila Kuugua?
nitakufa katika uzee mwema kabisaa. 97 years.
Nimeoza wanangu na nimewaona wajukuu na vitukuu mpaka vilembwe.
Nitakufa kwasababu ya utu uzima tu/uzee. Nitafia usingizini pale Aga khan.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤠🤠🤠! Huendi mbinguni lo.
Nikifika 80+ ndio tuanze kuongea habari za kifo changu. Ila I need a peaceful death, nisisumbue watu wangu.
Nitakufa Nina miaka 150,sura. Hadi macho yangu yatakua mazima na ngozi isiyo na makunyanzi!!
Nikiwa kitandani nimepumzika siku hiyo baada ya kuwasimulia wajukuu habari za heka heka za uchaguzi was 2015 na kifo Cha jpm 2021, na kutogombea Kwa mama Samia 2025!pia nitakua nyumba ndogo sio hii kubwa niliopo!!
Nitasimulia jinsi dar es salaam ilivyoangamia 2024 Mei 20!!
Wakati huo nikiwa ni mstaafu makam wa pili wa Raise wa Tanzania!nikiwa na watoto 12 na wajukuu zaidi 24!!
Nadhani ni hapo mwaka (2024+150=2174)!!
Nadhani!!
Mungu anilinde na kunijaalia uhai was miaka mingi sana!!!
Acha niendelee kujilinda dhidi ya pombe na uasherati kama nifanyavyo kwa muda mreeefu sana!!
Na Mungu was majeshi ayajibu maombi yangu ameen!!