stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Utakua kitanda umelalaSijiombei mabaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakua kitanda umelalaSijiombei mabaya
DuhHakuna ajuaye atakufa lini na wapi ila kwa lifestyle lako na Mazingira ya kazi unajionaje vyanzo gani unahisi huenda vikakusababishia umauti.Mimi kuna homa ya matonses,ini au figo,kupigwa shoti ya umeme au gas kulipuka hivyo vitu vinanitia wasiwasi sana na niko navyo makini kinyama.
We,kuna nini jamanSomebody gonna kill me km sio na risasi basi nitachomwa na kisu km nilikoswakoswa nitawekewa Sumu kwenye chakula, nikikoswa koswa kote huko basi moyo utajizima wenyewe
I'm Out
Hakuna guarantee hata punje ya haya unayoyasema.nitakufa katika uzee mwema kabisaa. 97 years.
Nimeoza wanangu na nimewaona wajukuu na vitukuu mpaka vilembwe.
Nitakufa kwasababu ya utu uzima tu/uzee. Nitafia usingizini pale Aga khan.
Kutoka Dar sawa ilaKwan huko unakoendaga ndege hazifiki? Hakuna air ports???
Hamna kitu mkuu,We,kuna nini jaman
Sasa ulitaka niseme nitafia gesti napiga 3some kama mzabzab ndio ionekana siko sunday schoolHakuna guarantee hata punje ya haya unayoyasema.
Umeandika kama watoto wa sunday school.
Nitakufuatilia kuanzia sasa na kuhakikisha tunakufa pamoja age 100-kwa niliyopitia na bado naishi 100 natoboa hakikaSomebody gonna kill me km sio na risasi basi nitachomwa na kisu km nilikoswakoswa nitawekewa Sumu kwenye chakula, nikikoswa koswa kote huko basi moyo utajizima wenyewe
I'm Out
For well being anf future's sake you will have to do this.Nawaza nitafte namna ya support, issue ni trust.
Hakika mkuu miaka 100Nitakufuatilia kuanzia sasa na kuhakikisha tunakufa pamoja age 100-kwa niliyopitia na bado naishi 100 natoboa hakika
Absolutely 100%Hakika mkuu miaka 100
Kama sio ajali basi moyo kama sio basi ini kama sio basi figo kama sio basi natoboa 70+ ila kwa sasa ndiyo kwanza nipo 30+ bata ziendelee.....Hakuna ajuaye atakufa lini na wapi ila kwa lifestyle lako na Mazingira ya kazi unajionaje vyanzo gani unahisi huenda vikakusababishia umauti.Mimi kuna homa ya matonses,ini au figo,kupigwa shoti ya umeme au gas kulipuka hivyo vitu vinanitia wasiwasi sana na niko navyo makini kinyama.
Hili ni jibu mujarabu.nitakufa katika uzee mwema kabisaa. 97 years.
Nimeoza wanangu na nimewaona wajukuu na vitukuu mpaka vilembwe.
Nitakufa kwasababu ya utu uzima tu/uzee. Nitafia usingizini pale Aga khan.