Unahisi kifo chako kitasababishwa na nini?

Unahisi kifo chako kitasababishwa na nini?

Hakuna ajuaye atakufa lini na wapi ila kwa lifestyle lako na Mazingira ya kazi unajionaje vyanzo gani unahisi huenda vikakusababishia umauti.Mimi kuna homa ya matonses,ini au figo,kupigwa shoti ya umeme au gas kulipuka hivyo vitu vinanitia wasiwasi sana na niko navyo makini kinyama.
Duh
 
Kwan huko unakoendaga ndege hazifiki? Hakuna air ports???
Kutoka Dar sawa ila
1. Ninakoenda Ports zinakua mbali na mzigo unapofikia
2. Natakiwa nisafiri na mzigo kwa usalama zaidi, Kilishanikuta kitu sitotaka kurudia wala kukumbuka.
3. Safari hizi hua ni usiku, Kusafiri mchana kwa ratiba zangu napoteza pakubwa.. n.k n.k.

Kiufupi, nasafiri sanaaa, tunaweza tukutane karikaoo asubuhi, Jioni ukiniuliza nikuambie Nipo njiani natoka arusha kwenda Mwanza, Wananiita Journey Man. Nawaza nitafte namna ya support, issue ni trust na mtu aliye competent, mjini, ukijichanganya tuu unakuta manyoya.

Ila nimeona watu sana wakiwa wamebanwa kwenye mavyuma usiku...
 
Hakuna ajuaye atakufa lini na wapi ila kwa lifestyle lako na Mazingira ya kazi unajionaje vyanzo gani unahisi huenda vikakusababishia umauti.Mimi kuna homa ya matonses,ini au figo,kupigwa shoti ya umeme au gas kulipuka hivyo vitu vinanitia wasiwasi sana na niko navyo makini kinyama.
Kama sio ajali basi moyo kama sio basi ini kama sio basi figo kama sio basi natoboa 70+ ila kwa sasa ndiyo kwanza nipo 30+ bata ziendelee.....
 
nitakufa katika uzee mwema kabisaa. 97 years.
Nimeoza wanangu na nimewaona wajukuu na vitukuu mpaka vilembwe.
Nitakufa kwasababu ya utu uzima tu/uzee. Nitafia usingizini pale Aga khan.
Hili ni jibu mujarabu.

Kufa tutakufa ila Ota kifò kizuri.
Sio mtu unawaza kupigwa visu mara kuwekewa sumu...labda kama wewe ni jambazi.
 
Back
Top Bottom