Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achawa wote watakufa kwa yatikanayo na uchawa wao,kama vile mwishi atakufa kwa arobaini ya wizi wake😅Hakuna ajuaye atakufa lini na wapi ila kwa lifestyle lako na Mazingira ya kazi unajionaje vyanzo gani unahisi huenda vikakusababishia umauti.Mimi kuna homa ya matonses,ini au figo,kupigwa shoti ya umeme au gas kulipuka hivyo vitu vinanitia wasiwasi sana na niko navyo makini kinyama.
Vipi motoMungu aepushe mbali haya mambo ila risasi na maji 🤔🤔
😂😂😂Siyo kifuani mwangu?❤
unaweza kuwaandalia nawakateseka vilevile hakuna gUsiwaze kifo waza utaachaje kizazi chako...umewaandalia nn watoto na wajukuu wasiteseke
Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
Watu mna wivu hata kwenye namna ya kifo cha mtu anavyojitabiria.Hakuna guarantee hata punje ya haya unayoyasema.
Umeandika kama watoto wa sunday school.
Tena ww unayesema Mungu hayupo hiyo siku utamuita hata mara 100 😂😂😂Sijui ila natamani kisiwe kifo cha mateso
Ushawahi kukutana nacho mpaka useme hukiogopi.Sijui mazingira gani kifo kitanikuta maana kila sehemu haipo safe.
Nimejiandaa kufia sehemu yeyote ile kwasababu kifo sikiogopi.
Pamoja na kuwa kifo sikiogopi lakini bado siwezi kufa kizembe.
Kama ambavyo sikuchagua tumbo la kuishi miezi 9 kabla sijazaliwa. Basi hata kifo sina wazo nacho maana najua kipo. Ninachokifanya ni kufanya jambo sahihi kila hatuaHakuna ajuaye atakufa lini na wapi ila kwa lifestyle lako na Mazingira ya kazi unajionaje vyanzo gani unahisi huenda vikakusababishia umauti.Mimi kuna homa ya matonses,ini au figo,kupigwa shoti ya umeme au gas kulipuka hivyo vitu vinanitia wasiwasi sana na niko navyo makini kinyama.
Wewe huamini miungu 17,999Tena ww unayesema Mungu hayupo hiyo siku utamuita hata mara 100 😂😂😂
Utaishi kwenye niniMimi sitokufa I will live forever kitakachokufa is my body
Huku shetani akiwa pemben yake akichukuwa selfieTena ww unayesema Mungu hayupo hiyo siku utamuita hata mara 100 😂😂😂
Nitakua fit kama mzee A.H Mwinyi we subir uone mkuuUtakuwa umri wa usumbufu huo, ndiyo maana huko kwa wakoloni mnapelekwa kwa nyumba za kulelea wazee!.
Najua tu watanipeleka hospitalKwa nini ufie Agha Khan na usifie kitandani nyumbani kwako?
Miaka yote hiyo AK tena!
Uje ufie kitandani kwako kuwapunguzia wanao usumbufu.
Ukishajua kuwa kifo hakiepukiki basi kuishi kwa kuogopa kufa ni kuzidi kujipunguzia siku za kuishiUshawahi kukutana nacho mpaka useme hukiogopi.
We muache na jeuri yakeHuku shetani akiwa pemben yake akichukuwa selfie
Kaza fuvuWewe huamini miungu 17,999
Mimi siamini miungu 18,000
Hatutofautiani sana mkuu😅
Aga Khan utakwenda kulala siku hiyo au itakuwa nyumba ya wazee?nitakufa katika uzee mwema kabisaa. 97 years.
Nimeoza wanangu na nimewaona wajukuu na vitukuu mpaka vilembwe.
Nitakufa kwasababu ya utu uzima tu/uzee. Nitafia usingizini pale Aga khan.