Unahisi kumpenda nani hapa JF?

hakuna hata mmoja coz kimtizamo wanawake wwngi jf wanaonekana ni wamama watu wazima or wadada waliokwisha kata ringi...hawana mvuto kiviiile...idoogo anaeonekana ana kamvuto ni lara 1

HAHAHAAAAAAAAAA! Usije tu kutoka baruuuuuuuuu! Kuchamba kwingi kutoka na Vima, ndo wewe sasa! We chagua sanaa utaruka zilikomaa na kufata koroma!
 
Ivi kwen huu uzi hakuna mtu amenitaja?😕😕😎
 
Bak!.......he is special and wonderful i wonder where he is!......hope to meet him some day!
 
I Love Eveline Salt, Kisukari and Mamdenyi and I hate Nivea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…