mjini hapa sijaja kushangaa magorofa atii. nampeti peti si unajua tena jua ndo linazama hivyo na pensheni yake ndo hiyo iko mlangoni? sasa ndo hiyo inayoniweka kwa huyu mzee. kijana hadi astaafu ni leo? nasubiri boom la pensheni babu wee. plizi nitunzie sirii
mjini hapa sijaja kushangaa magorofa atii. nampeti peti si unajua tena jua ndo linazama hivyo na pensheni yake ndo hiyo iko mlangoni? sasa ndo hiyo inayoniweka kwa huyu mzee. kijana hadi astaafu ni leo? nasubiri boom la pensheni babu wee. plizi nitunzie sirii
huyu ninamuhamishia kwangu jumla soon, sasa hivi niko chimbo na kungwi mmoja hatari sana ananipa maujuzi ya kumtuliza huyu bwana. mark my word
whaaaaaat!!!!
whaaaaaat!!!!
wewe si ndo ulimteteaga huyu? si unaona sasa?
usirudishe wewe mchuma huo. tena umwambie akujengee na nyumba. ukiwa na hasira za kurudisha vitu utakufa masikini mjini hapa. shauliloyani we acha tu! Sijui nimrudishie gari lake?
usirudishe wewe mchuma huo. tena umwambie akujengee na nyumba. ukiwa na hasira za kurudisha vitu utakufa masikini mjini hapa. shaulilo