Unahisi kumpenda nani hapa JF?

Unahisi kumpenda nani hapa JF?

mjini hapa sijaja kushangaa magorofa atii. nampeti peti si unajua tena jua ndo linazama hivyo na pensheni yake ndo hiyo iko mlangoni? sasa ndo hiyo inayoniweka kwa huyu mzee. kijana hadi astaafu ni leo? nasubiri boom la pensheni babu wee. plizi nitunzie sirii

Masikini weeeee Mzee Kaizer, what does not kill you, makes you stronger======vice versa its true
 
Mhe. Kaizer with your 57 years old kweli huyu binti DEMBA anakuita bebi boy unaitika. Hivi nikuulize swali. Huwa anakunyonyesha maziwa fresh?

Kijana wangu Mokoyo uzee mwisho chalinze. Mjini kila.mtu baby...ndo tunanata na biti ivo
 
Last edited by a moderator:
mjini hapa sijaja kushangaa magorofa atii. nampeti peti si unajua tena jua ndo linazama hivyo na pensheni yake ndo hiyo iko mlangoni? sasa ndo hiyo inayoniweka kwa huyu mzee. kijana hadi astaafu ni leo? nasubiri boom la pensheni babu wee. plizi nitunzie sirii

Sasw baby DEMBA uishie apo maana Mokoyo ana.presha ya kupanda...usomwambie kuhusu game linavokiwaga atacolapse. Atuwacheeeee
 
Last edited by a moderator:
huyu ninamuhamishia kwangu jumla soon, sasa hivi niko chimbo na kungwi mmoja hatari sana ananipa maujuzi ya kumtuliza huyu bwana. mark my word

Hahahahaaaaa
Kazi ni kwako!
 
yani we acha tu! Sijui nimrudishie gari lake?
usirudishe wewe mchuma huo. tena umwambie akujengee na nyumba. ukiwa na hasira za kurudisha vitu utakufa masikini mjini hapa. shaulilo
 
usirudishe wewe mchuma huo. tena umwambie akujengee na nyumba. ukiwa na hasira za kurudisha vitu utakufa masikini mjini hapa. shaulilo

afu kweli loh! Bas best ngoja niuchune,afu kile kiwanja cha makotopola alisema atanipa hehee! Usimwambie mtu!
 
Back
Top Bottom