Mie kuna mtu nampenda huyo yaani basi tu kumwambia siwezi nabaki kusoma Comment zake na kuumia kimya kimya
C umwambie ss nawwHata mimi ni hivyo hivyo...
Hahahaha mie naogopa bwana
Haya nambieNikwambie..?
Hahaha[emoji1] [emoji2] [emoji3] ebu jaribu tuone matokeoKuna wanawake wana busara humu ndani mpaka unatamani kuongeza Mke wa pili... Sasa sijui wako hivyo au vipi
Kupendwa apendwe atoto, mahaba uyapokee wewe... khaa!!Am humbled you know, thanks alot, nakukubali pia, one love.
Aliliwa na wajanja?[emoji1]Kashabadili ID siku nyingi sana...