Unahisi kumpenda nani hapa JF?

Unahisi kumpenda nani hapa JF?

Afu jana nikakuota...aaaah!
Mwanaume mwema huyu, ana mapenzi ya dhati ujuwe!!
Manga ML hivi ana taarifa unaniota?? Hebu kesho uote umenimpesa basi alafu ukiamka ifanye ndoto yako iwe kweli.
 
Last edited by a moderator:
hahahaaaa Mme wangu humuwezi kafunikwa na nguvu ya Mungu watu kama nyie hamuwezi kumgusa utabadilika jiwe ishaandikwa huyu ni wangu....

Bora akudanganyedanganye tu,akikwambia ukweli utaumia
 
Manga ML hivi ana taarifa unaniota?? Hebu kesho uote umenimpesa basi alafu ukiamka ifanye ndoto yako iwe kweli.


Sssshh.. Hivi una umri gani, unaanza kuita wanokoz tena!, aaah. leta #CRDB sifanyi biashara na mpesa!
 
Last edited by a moderator:
Sssshh.. Hivi una umri gani, unaanza kuita wanokoz tena!, aaah. leta #CRDB sifanyi biashara na mpesa!

Haya hebu fanya muamala fastaaa, sory kwa kuchelewa kujibu nilikuwa kwenye kikao cha familia yangu ile ya jf.
 
Back
Top Bottom