Kukudume2013
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 1,659
- 734
Nampenda kila asiekashifu dini za wenzake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa na wewe ndo nini kufukunyua hili jiuzi? Ngoja nicheki mwanzo mwisho nione kama nimebadili choice. Manake nawapenda kama 20 hivi
Mapenzi ni mchanganyiko wa mambo na masuala mengi sana ikiwa ni pamoja na maneno ya kutamka na kuandika, zawadi, na mambo mengine mengi. Kama ndivyo wewe member wa JF ni nani unayehisi kuwa kwa maneno na uandishi wake anaweza kuwa mtu wa karibu kwako na akakupa furaha fulani?
Mkuu umeona eeee, hata wakati nasoma kuna wanafunzi walikuwa wanapenda kujaza booklet nne lakini matokeo yakitoka mnafanana maksi na wa booklet mojaKutokujiamini kunafanya wakati mwingine vijana wengi wa ki Tanzania kufeli shuleni hata katika maisha!!Utakuta wanashindwa kabisa kujieleza na kunyoosha maelezo kama walivyoulizwa, tofauti kabisa na wa huku ughaibuni...na hapa hata kama ndio ungekua mtihani basi wengi wangefeli, THREAD imeuliza NI NANI sio wakina NANI,..taja mmoja. Kwi kwi kwi kwi eti OOh nawapenda wengi,ooooh fulani na fulani.
Mie mwenyewe moyo unabadilika kila siku. Jana ilikuwa bishanga leo nina mwingine kichwani.
Mkuu umeona eeee, hata wakati nasoma kuna wanafunzi walikuwa wanapenda kujaza booklet nne lakini matokeo yakitoka mnafanana maksi na wa booklet moja
haaahaaa! Naona unaniotaga eee!
Nampenda kila asiekashifu dini za wenzake
wala sio mara moja, I wish you could do the same in return
Mi nshakufa moyoni hata kama watakuja na mabomu au tindikali sitastukaMkuu unaweza lakini kugongana na wakubwa wako?
aisee! Angalia cku ucje ukaota kwa sauti utashtua watu!