- Thread starter
- #681
subiri nitoke chimbo kurukaruka kwake kote kutabaki historia. huyu kungwi niliyempata ni bab kubwa kwa maujuzi ya kutuliza watu kama hawa
hahahahaha unajikoki sio.....namuonea huruma Kaizer
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
subiri nitoke chimbo kurukaruka kwake kote kutabaki historia. huyu kungwi niliyempata ni bab kubwa kwa maujuzi ya kutuliza watu kama hawa
Hayo unayosikia we yaache hivo hivo...mimi na yeye tumeivana
Hayo unayosikia we yaache hivo hivo...mimi na yeye tumeivana
Habari ndo hiyo mjombahahahahaha umenifurahisha sana, hutaki majungu kwenye ndoa yako siyo mamaa
Jamaa kakuumbua Sir Kaizer
Kaizer , kuna huyu jamaa Mndengereko, ananyemelea mali zangu, ebu muonye aisee
miss u too beby boy.
mjini hapa sijaja kushangaa magorofa atii. nampeti peti si unajua tena jua ndo linazama hivyo na pensheni yake ndo hiyo iko mlangoni? sasa ndo hiyo inayoniweka kwa huyu mzee. kijana hadi astaafu ni leo? nasubiri boom la pensheni babu wee. plizi nitunzie siriining'ate sikio DEMBA, kifua ninacho kila siku naenda gym. haya nakusikilizia