Unahisi mwana JF yukoje kimtazamo wako

😛hoto:😛hoto:😛hoto:
 
Nakubaliana na wewe hasa hapo kwa Kaizer na miss neddy. Ila Asprin mi nahisi ni mwembamba af mfupi-mfupi hivi:der::der:....yan ana mwili mdogo:A S 114::A S 114:...ana watoto wawili:shock::shock:
😛hoto:😛hoto:
 
Rahabu ni kibonge kimetuna kama godoro la 6 x 6 [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Aah nimeona nikupotezee unanizibia tu rizki watu wanaona niko taken kumbe mtu mwenyewe mzinguaji
Hahaha..... Haya mama kila la kheri nikutakie tu upate bwana mcharo kama mimi akikutesa rudi sawa!
 
hapa kiukweli me napita tu,,endeleeni kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…