Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Salama kabisa mkuuYupo kajaa tele
BTW habari yako?
Nyagei
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salama kabisa mkuuYupo kajaa tele
BTW habari yako?
Nyagei
Nalewa niwacheeYaani badala ya kulala unatafuta thread za kufufua.
HahaahhahaaaMakaburi haya yana faida kwetu bana.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Nalewa niwachee
Sihisi ila namjua
Maxence Melo
Mike Mushi
Shunie
Nyani Ngabu
Don Clericuzio
Raynavero
audacious
wambeke
SHAMMA
Inna
Phenomenal woman
Niliowasahau wanajijua lakini
Usisahau zawadi zanguSee you soon!
Usisahau zawadi zangu
[emoji8][emoji8]Nakusalimia pia my wangu
wewe hapo umepaukaa tena nikikasirika naweka sura yako hapaUnaweza kuona uzi hapa JF mpaka ukahisi umeandikiwa wewe au huyo aliyeandika utakuwa unamjua, ni nani huyo au uzi gani funguka mwana JF tuburudike hapa, mimi wangu utakuja soon.
Maxence Melo.Unaweza kuona uzi hapa JF mpaka ukahisi umeandikiwa wewe au huyo aliyeandika utakuwa unamjua, ni nani huyo au uzi gani funguka mwana JF tuburudike hapa, mimi wangu utakuja soon.
Hivi kupauka si inakuwaga ni laifu limekuwa likavu tu so nikawaida.au mimi ndio sielewiwewe hapo umepaukaa tena nikikasirika naweka sura yako hapa
Maxence Melo nilikutana nae siku moja kiunga kimoja nikampa hi, "Niaje Mkurugenzi"Unaweza kuona uzi hapa JF mpaka ukahisi umeandikiwa wewe au huyo aliyeandika utakuwa unamjua, ni nani huyo au uzi gani funguka mwana JF tuburudike hapa, mimi wangu utakuja soon.
kupauka maisha yanakua yamekupiga hadi sura imekosa nuru!!Hivi kupauka si inakuwaga ni laifu limekuwa likavu tu so nikawaida.au mimi ndio sielewi
Yuko Humble sana.Maxence Melo nilikutana nae siku moja kiunga kimoja nikampa hi, "Niaje Mkurugenzi"
sijui kama alijua namaanisha Mkurgnziwa JF au alijua tu yale majina ya Ki-Daslaam Mkuu, Kiongozi, Askari,
Tajiri.........
Hustlers wengi wa kweli wapo hivyo........ukute sasa wale wamezaliwa wakakuta mali nyumbani mweee!Kwa umaarufu aliokuwa nao alikuwa ana uwezo hata wakutoitika salamu yangu lakini chakushangaza alikuwa mnyenyekevu mno
Kama ni hivyo basi tumepauka wengi alookupauka maisha yanakua yamekupiga hadi sura imekosa nuru!!
Sura kwa kawaida ina nuru
Nafikiri unyenyekevu hupatikana kwa wale wote wenyekujua maisha ni nini.Hustlers wengi wa kweli wapo hivyo........ukute sasa wale wamezaliwa wakakuta mali nyumbani mweee!