Unahisi ni nyuzi gani hapa JF zinamchekesha sana Rais Samia?

Unahisi ni nyuzi gani hapa JF zinamchekesha sana Rais Samia?

Mama yetu mpendwa, kama utapitia huu uzi usisahau kupita kwenye hii reply. Wana jf wote kwa pamoja tunakupenda sana na kukuheshimu vikali. Sio sisi tu, hata guests wote wanakuheshimu. Sio tu hao, bali watanzania wote kwa ujumla. Tunakuombea maisha marefu yenye baraka. Tutakuwa nawe hata kwenye kipindi chako cha awamu ya pili ya utawala wako, malkia

nakupa onyo!
nani kakuambia kiherehere ni mtaji?
 
Back
Top Bottom