amoc thedon
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 345
- 531
Nahitaji bampa ya mbele yaToyota premio bei gan
Mswaki ni half engine😅 inakuwa ni cylinder head na block, pistons zake,valves na main na cones! Mara nyingi inawakilisha sehemu ya juu ya engine kabla ya crankshaft!Mswaki ndio kifaa gani. Hata kwenye gari yangu kitakuepo?
Mkuu taa za nyuma za subaru forester SH5 bei gani kwa mojaHii taa hatuna
Mkuu taa ya forester bei gani ile ya nyumaUmepata?
Labda amnunui mnauliza tu!Mshikaji mwenye uzi anawapotezea wateja kinoma. Dharau hizi
Mniwie radhi sana wakuu ni kweli nimewaangusha mno,nasoma hizo comment za mwezi September,mpaka December nashindwa hata nianzie wapi.Mshikaji mwenye uzi anawapotezea wateja kinoma. Dharau hizi
Hapana mkuu kujibu kwangu ni lazima,kununua ni maamuzi ya mtejaLabda amnunui mnauliza tu!
Nahitaji speedo cable ya starletHapana mkuu kujibu kwangu ni lazima,kununua ni maamuzi ya mteja
Sent from my Infinix X604 using JamiiForums mobile app
Speed cable ya starlet utaipata kwa 120,000/=Nahitaji speedo cable ya starlet
Gari yangu model hiyo ilipata ajali hivyo nina baadhi ya vifaa nilivitoa kabla ya kuiuza kama scraper. Kuna side mirror zote mbili, power window zote, taa ya mbele kulia(ya booster), ya nyuma kulia na makolokolo mengine...Mkuu taa ya forester bei gani ile ya nyuma
Mkuu MBNA uliuza scraper wakat Gari Inaonekana ingetengenezeka au engine ilizngua?Habari mkuu..Gari yangu model hiyo ilipata ajali hivyo nina baadhi ya vifaa nilivitoa kabla ya kuiuza kama scraper. Kuna side mirror zote mbili, power window zote, taa ya mbele kulia(ya booster), ya nyuma kulia na makolokolo mengine...View attachment 2056627
Nipe picha ya gari Chief, unaweza kunitumia hata WhatsApp 0658124554Chief, kioo cha nyuma cha noah hizi new model n bei gani.
Unapata mkuu kwa 180,000/=Brother nahitaji spoiler ya nyuma ya toyota rumion.