Master of the game
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 5,858
- 2,697
- Thread starter
- #621
250,000/=Tuanze na Toyota Passo. Bampa la mbele.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
250,000/=Tuanze na Toyota Passo. Bampa la mbele.
Engine Milioni 3.5Mkuu samahani naomba kujua bei ya engine ya townace 2y au 3y pamoja na gea box yake ,naomba bei ya mpya na used .
Asante ,hiyo ni bei ya mpaya au used.Engine Milioni 3.5
Gearbox milioni 1.5
Used JapanAsante ,hiyo ni bei ya mpaya au used.
Nahitaji sensor ya gear box automatic, ya nissan cube 2007, unayo? Shs ngapi chief?Salaam ndugu zangu,kwanza napenda kuwashukuru kwa kuunga mkono uzi wetu pendwa wa, "Wapenzi wa magari mazuri ”. Ahadi yangu kwenu ni kuendeleza mazuri.
Ili magari yetu yaendelee kuwa mazuri tutahitaji spare,unaonaje ukinipa oda yako kisha nikutumie spare huko huko mkoani na utalipia mzigo wako ukishapokea kwa wakala wetu ?
Spare yoyote ile kwetu inapatikana iwe body part kama bampa, taa n.k au hata engine , gearbox na spare nyenginezo.
Unaweza kuniPm oda yako au nitumie ujumbe kwa WhatsApp au text ya kawaida .
Namba yangu ya simu ni 0658124554View attachment 1072803View attachment 1072804View attachment 1072805View attachment 1072807
Sent using Jamii Forums mobile app
Elfu 70Mi nahitaji head gasket ya MR20 engine ila sio ya material ya chuma....
Za mbele 45,000/=Brake pads za wish old model unauzaje mkuu? Nina safari hivyo nahitaji nibadilishe za mbele na nyuma.
Hapana mkuuUnazo spare za Isuzu Bighorn 4JX1 engine?
Hii sina mkuuNahitaji sensor ya gear box automatic, ya nissan cube 2007, unayo? Shs ngapi chief?
Sina hizi side mirror zenye taa bossSide mirrors za altezza zenye taa ya indicator bei gani mkuu
Ipo bei 120,000/=Nahitaji Alternator ya Corolla AE100. Na bei please