Unahoji uhalali wa BBC kuhusu tuhuma za TB Joshua ila unashindwa kuhoji uhalali wa Gwajima Kufufua Mfu!

Unahoji uhalali wa BBC kuhusu tuhuma za TB Joshua ila unashindwa kuhoji uhalali wa Gwajima Kufufua Mfu!

Agenda za waziwazi ndiyo Agenda za namna gani mkuu!?,unaweza kufafanua kidogo?


Huwezi elewa swali langu la Pili kama swali la kwanza hujalielewa!
Unaelewa lakini ninachokujibu, mbona kama hunielewi mkuu.

Taarifa za BBC mara nyingi huwa zina ukakasi, kuna taarifa za uongo wa wazi kabisa, walionesha videi ya mazishi ya usiku usiku Tanzania kipindi cha covid 19,
Taarifa nyingi tu za mataifa mbalimbali unakuta wako biased, kinyume na kanuni za fani hii ya uandishi wa habari, Tena baadhi ya taarifa wamewahi kutoa kuhusu pope, ikaleta mkanganyiko mkubwa tu, ila baada ya muda kdogo waksamua kuomba msamaha na kuirekebisha.

Hivyo ni vitu vinavyoondoa imani yangi kwenye chombo hicho.

Siwezi kukichukua kama muhabarishaji mkuu, maybe kama kuna source nyingine itaconfirm taarifa yenye mfanano na BBC.

Sjui hata kama unanielewa
 
Hakuna watu nawashangaa kama waumini wa Askofu Gwajima. Sijui kawalisha nini, maana ni sampuli ya wajinga wa Tanzania.
 

Basi tuseme alikufa kweli maswali ni
1. Walitoa wapi mamlaka ya kukaa na hiyo maiti?
2. Alifia mazingira gani, nasikia habari ya shule hapo.
3. Serikali ya mtaa husika ilikuwa na taarifa ya kifo hicho, vipi kuhusu kituo cha polisi?
4. Kama alifia shule au nyumbani je maiti ilipelekwa kituo gani cha afya au hospitali ipi?
5. Hapo hospitali au kituo cha afya ni nani alisema amefariki? Na nani aliruhusu maiti yake kutoka?
6. Maiti haizungushwi hovyo bila kibali, je wanacho? Na nani alikitoa?
7. Je hapo yupo mganga mkuu na timu ya wataalamu wa afya kudhibiti magonjwa kulipuka?

Hapa wizara ya afya, jeshi la polisi na mamlaka zingine zinazohusika ipo haja zichunguze na kutoa tamko. Tutakuja kusikia mambo ya ajabu sana siku moja.

Ni fedhea sana.
 
Basi tuseme alikufa kweli maswali ni
1. Walitoa wapi mamlaka ya kukaa na hiyo maiti?
2. Alifia mazingira gani, nasikia habari ya shule hapo.
3. Serikali ya mtaa husika ilikuwa na taarifa ya kifo hicho, vipi kuhusu kituo cha polisi?
4. Kama alifia shule au nyumbani je maiti ilipelekwa kituo gani cha afya au hospitali ipi?
5. Hapo hospitali au kituo cha afya ni nani alisema amefariki? Na nani aliruhusu maiti yake kutoka?
6. Maiti haizungushwi hovyo bila kibali, je wanacho? Na nani alikitoa?
7. Je hapo yupo mganga mkuu na timu ya wataalamu wa afya kudhibiti magonjwa kulipuka?

Hapa wizara ya afya, jeshi la polisi na mamlaka zingine zinazohusika ipo haja zichunguze na kutoa tamko. Tutakuja kusikia mambo ya ajabu sana siku moja.

Ni fedhea sana.
Imani ni shambulio la akili
 
Back
Top Bottom