Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 4,978
- 2,411
Ni kawaida kwenye maisha yetu watanzania: Tukiona mtu mweusi ana hela tutahoji sana, ila akiwa mzungu, mwarabu, muhindi ama shombeshombe hatuoji, tunaamini ni pesa zao halali na tutafosi tu narratives kwamba wajomba zake wana visima au ana undugu na Bush, Obama na kadhalika.
Kwahiyo wewe kama kama kiongozi, ukiiba pesa peleka kwa hiyo jamii huku ukimonitor taratibu.
Kwahiyo wewe kama kama kiongozi, ukiiba pesa peleka kwa hiyo jamii huku ukimonitor taratibu.