Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Hiki ni kikosi kilichoinyoa Arsenal katika fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya mwaka 2006 jijini Paris.
Chini ya mdachi Frank Rijkaard, Barcelona hii ilikuwa tamu sana kuliko hata ile ya Pep Guardiola.
Unakikumbuka kikosi hiki? unaikumbuka fainali ile ya 2006? je ni kweli Barca walibebwa ktk fainali ile? Karibuni mtiririke na kuserereka wadau...
Na hiki ndiko kilikuwa kikosi cha Arsenal
Cc;
Guasa Amboni
BlackPanther
Lizarazu
Chini ya mdachi Frank Rijkaard, Barcelona hii ilikuwa tamu sana kuliko hata ile ya Pep Guardiola.
Unakikumbuka kikosi hiki? unaikumbuka fainali ile ya 2006? je ni kweli Barca walibebwa ktk fainali ile? Karibuni mtiririke na kuserereka wadau...
Na hiki ndiko kilikuwa kikosi cha Arsenal
Cc;
Guasa Amboni
BlackPanther
Lizarazu