mbotoro kivoi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 973
- 1,358
Ze bakteria
Wengi walizoea kuniita dogo bacteria yan
Kisa nilijibu swali
Alilouliza mwalimu aliuliza ni bacteria gani
Yupo kwenye nyama
Haha nkamenshen pale Ascaris
Doooooh alafu ndio kwanza nimeingia...hapo nimechelewa hahaha
Mpaka namaliza naitwa Bacteria
Ndani ya Missungwi, karibu UkiriguruMie BASHI.TE wa Kolomije