Unaikumbuka nick name yako ya sekondari? Tupia hapa

Back bencher O level kwasababu nilikuwa nina siti yangu nyuma ya darasa na ilikuwa inaheshimiwa from form 1 to 4 na Advance Mboma wakinifananisha na yule mchezaji wa Cameroon.

Chuoni sidhani kama huwa a.k.a zina kick maana sikumbuki kama nilikuwa ninalo
 
mr. luambano...hapo ni baada ya head mistress(mrs.luambano), kuwa na visa sana na mm, ikabidi nijiite Mr. wake
 
"May be Tomorrow" kutokana na utoro walikuwa wananiita hivyo... walimu hawakunifukuza shule tu coz nilikuwa napasua masomo...
 
Pale Old Moshi Secondary yule mwana-bongo flavour mmoja wa Wagosi wa Kaya alikua akiitwa PILATO daaaaaa!!km ingekua ni miaka hii ya sasa ni bora ukutane na watu wasiojulikana ama wazee wa kustukiza bandarini kuliko kupelekwa kwa huyu PILATO aka Mariki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…