zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
mungiki,,,,hapa ni baada ya kuwa nacheka sana nikisikia habari za mungiki kenya.
Mkuu wa nchi..hapa ni baada ya kuwashwishi fm 1-2-3 wamkatae kaka mkuu wa shule (alikuwa fm 6 mie fm 5) akanipa adhabu nikamuundia zengwe.
wakamtoa, wiki nzima nawanunulia maandazi jeshi langu kwa kufanikisha zoezi.yule HP hatukuwahi patana hata kidogo.
Mkuu wa nchi..hapa ni baada ya kuwashwishi fm 1-2-3 wamkatae kaka mkuu wa shule (alikuwa fm 6 mie fm 5) akanipa adhabu nikamuundia zengwe.
wakamtoa, wiki nzima nawanunulia maandazi jeshi langu kwa kufanikisha zoezi.yule HP hatukuwahi patana hata kidogo.