Unaikumbuka nick name yako ya sekondari? Tupia hapa

mungiki,,,,hapa ni baada ya kuwa nacheka sana nikisikia habari za mungiki kenya.

Mkuu wa nchi..hapa ni baada ya kuwashwishi fm 1-2-3 wamkatae kaka mkuu wa shule (alikuwa fm 6 mie fm 5) akanipa adhabu nikamuundia zengwe.

wakamtoa, wiki nzima nawanunulia maandazi jeshi langu kwa kufanikisha zoezi.yule HP hatukuwahi patana hata kidogo.
 
Mimi olevel walikuwa wananiita king nakumbuk ilitokanaga nilikuwa nadance sana ngoma ya jamaa flan mjamaika inaitwa king of dance km sikosei.sasa badala ya king of dance wakawa wananifupisha "king"
 
Niliitwa *Mbatizaji* enzi zile. Nikikupa jina linakuwa lako daima
 
Mimi olevel walikuwa wananiita king nakumbuk ilitokanaga nilikuwa nadance sana ngoma ya jamaa flan mjamaika inaitwa king of dance km sikosei.sasa badala ya king of dance wakawa wananifupisha "king"


au diana king
 
nike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…