Unaikumbuka nick name yako ya sekondari? Tupia hapa

pyongyang walikua wananiita ivyo kutokana na misimamo yangu mikali
 
Dah... Darasani waliniita Bumblebee...... nikiingia uwanjani waliniita Road Block ....... kitambo sana....mwanzoni mwa 1950sπŸ™‚πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ 😎
 
Mazengo niliitwa KISSING MASTER [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
1.Happy skilful international school niliitwa SOULJA-J

2.Agape mbagala secondary school niliitwa VIBRATES BRAIN

3.Mbalizi high school nilitwa PUMBU-G
 
walikua wananiita vigimbi kwenye mpira maana nilikua navyo kama vya shadrack nsajigwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…