Lucky Star
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,874
- 3,215
Lete ManenoHuwa siazimi wala kuazimisha vitu vya Moto yaliwahi kunikuta makubwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] itakuwa yeye ndiye anaipasi pasiKuna mmoja alikuja kuazima pasi akaunguza waya nikakausha bahati nzuri nilikuanayo nyingine ambayo niliinunua nikiwa kwrnye safari moja hivi, so kila akija kuomba nampa ile mbovu na sijui anaitumiaje!? Maana haipeleki moto
Haa haa kuna watu mmepindaUna njia tatu utachagua ipi inafaa zaidi
1. Mpe makavu, anunue charger yake hamna haja ya kucheka na nyani.
2. Siku muwahi ujifanye umesahau kama amekurudishia charger yako maana huioni anzisha vurugu mdai charger yako mapaka iwe kesi.
3. Anza kuvuta bangi, mimi majirani mpaka wanawaambia watoto wao wasikatize karibu na kwangu wasijifunze tabia mbaya.
Kwahiyo ndio umekuja kunitangaza huku kwenye kadamnasi??? ..Nakataa ndugu, mtu ambae kwa mwezi anaingiza 500,000tsh anashindwa chaji ya 10,000? Kitu anachotumia mara nyingi?
Makubwa yepi hayo?Huwa siazimi wala kuazimisha vitu vya Moto yaliwahi kunikuta makubwa.
Acha roho mbaya wewe.. kwani kwenye katiba si imeandikwa Tanzania ni nchi ya kijamaa? Sasa wewe huo ubinafsi utakuwa raia wa nchi gani wewe?Kuna mmoja alikuja kuazima pasi akaunguza waya nikakausha bahati nzuri nilikuanayo nyingine ambayo niliinunua nikiwa kwrnye safari moja hivi, so kila akija kuomba nampa ile mbovu na sijui anaitumiaje!? Maana haipeleki moto
Ndiyo ujiongeze ili wasikutangaze hovyoKwahiyo ndo umekuja kunitangaza huku kwenye kadamnasi??? ..
Wewe na yeye ni jinsia mbili tofauti? If yes jiongeze mkuu!Najua jirani ni ndugu wa karibu ila kuna mengine yamezidi.
Jirani alikua anakuja kuomba chaji nikaona sio kesi nimenunua nyingine nikamuachia atumie.
Bado basi yake imeharibika hana mpango wa kuitengeneza wala kununua nikaona sikesi usumbufu umezidi nichukue nyingine, sasa naona haajiongezi, chaji ile sijui imekuaje anakuja tena kugonga nimuwekee chaji, waungwana ujirani huu unafanyaje?
Hujakaa na mgogo wewe, ana kazi nzuri tu lkn ataomba omba kila kitu from chaji, chumvi, nyanya, tomato sauce etMkuu haya maisha ya kupimba omba hakuna anaye yapenda inafikia kipindi unapigika haswaa unakosa hata pesa ya kununua mboga,
Wavumilie tu ndugu yangu maisha yanabana sana
Natengwa na majirani sababu ya mmea, kuna kisa fulani nikikumbuka mpaka nacheka kuna siku nilikuwa naelekea dukani usiku kununua mkate maana kesho yake nilikuwa nawahi asubuhi sana kutoka.
Kuna mama fulani wa makamo alikuwa anaelekea njia moja na mimi ila yupo mbele yangu ndio anaenda nyumbani kwake sasa nikiongeza mwendo na yeye anaongeza mwendo nisimkaribie mpaka akakata sandals alizokuwa amevaa.
Kumsemesha namuona ana hofu kama anatetemeka na hasira, alibahatisha kuna toyo ilikuwa inapita akaichukua na kwenda nayo umbali haufiki hata nusu kilomita kesho yake nilikuja kusikia stori mtaani eti alinusurika kukabwa na wavuta bangi wa mtaani duh nikajua kumbe najulikana mtaani na na kuogopwa kabisa, hamna mtu mwenye time na mimi wanajua ni mhuni tu anayepuliza mmea kila saa, na mimi nawaacha wanichukulie hivyo hivyo sitaki mazoea[emoji205]
Huo ni ujinga unamuambia huna, mtu anayefaa kusaidiwa ni mwenye kipato cha chiniHujakaa na mgogo wewe,ana kazi nzuri tu lkn ataomba omba kila kitu from chaji,chumvi,nyanya,tomato sauce et
Nakwambia hivi wanapenda sana tu,Kama wengine wanakufa na Tai zao shingoni kwanini wao wajifanye omba omba?Mkuu haya maisha ya kupmba omba hakuna anaye yapenda inafikia kipindi unapigika haswaa unakosa hata pesa ya kununua mboga,
Wavumilie tu ndugu yangu maisha yanabana sana
Huo ni ujinga unamuambia huna, mtu anayefaa kusaidiwa ni mwenye kipato cha chini
Najua jirani ni ndugu wa karibu ila kuna mengine yamezidi.
Jirani alikua anakuja kuomba chaji nikaona sio kesi nimenunua nyingine nikamuachia atumie.
Bado basi yake imeharibika hana mpango wa kuitengeneza wala kununua nikaona sikesi usumbufu umezidi nichukue nyingine, sasa naona haajiongezi, chaji ile sijui imekuaje anakuja tena kugonga nimuwekee chaji, waungwana ujirani huu unafanyaje?
Hahahaha kabsa chief hakuna mazoea unakata kbsa mazoea nao wakikuzoea wataanza kuleta dharauNatengwa na majirani sababu ya mmea, kuna kisa fulani nikikumbuka mpaka nacheka kuna siku nilikuwa naelekea dukani usiku kununua mkate maana kesho yake nilikuwa nawahi asubuhi sana kutoka.
Kuna mama fulani wa makamo alikuwa anaelekea njia moja na mimi ila yupo mbele yangu ndio anaenda nyumbani kwake sasa nikiongeza mwendo na yeye anaongeza mwendo nisimkaribie mpaka akakata sandals alizokuwa amevaa.
Kumsemesha namuona ana hofu kama anatetemeka na hasira, alibahatisha kuna toyo ilikuwa inapita akaichukua na kwenda nayo umbali haufiki hata nusu kilomita kesho yake nilikuja kusikia stori mtaani eti alinusurika kukabwa na wavuta bangi wa mtaani duh nikajua kumbe najulikana mtaani na na kuogopwa kabisa, hamna mtu mwenye time na mimi wanajua ni mhuni tu anayepuliza mmea kila saa, na mimi nawaacha wanichukulie hivyo hivyo sitaki mazoea🐒