bandeko andeko
JF-Expert Member
- Oct 20, 2021
- 1,080
- 2,143
kutoa ni moyo unyambe si utajiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mvumilie tu jirani ndio ndugu yako wa karibu hasa ukiwa uswahilini😂!Najua jirani ni ndugu wa karibu ila kuna mengine yamezidi.
Jirani alikuwa anakuja kuomba chaji nikaona sio kesi nimenunua nyingine nikamuachia atumie.
Bado basi yake imeharibika hana mpango wa kuitengeneza wala kununua nikaona sikesi usumbufu umezidi nichukue nyingine, sasa naona haajiongezi, chaji ile sijui imekuaje anakuja tena kugonga nimuwekee chaji, waungwana ujirani huu unafanyaje?
Akiomba mpe fake atajifunzaNajua jirani ni ndugu wa karibu ila kuna mengine yamezidi.
Jirani alikuwa anakuja kuomba chaji nikaona sio kesi nimenunua nyingine nikamuachia atumie.
Bado basi yake imeharibika hana mpango wa kuitengeneza wala kununua nikaona sikesi usumbufu umezidi nichukue nyingine, sasa naona haajiongezi, chaji ile sijui imekuaje anakuja tena kugonga nimuwekee chaji, waungwana ujirani huu unafanyaje?
Mzee wa Shada😂 unakula sana dawa!Natengwa na majirani sababu ya mmea, kuna kisa fulani nikikumbuka mpaka nacheka kuna siku nilikuwa naelekea dukani usiku kununua mkate maana kesho yake nilikuwa nawahi asubuhi sana kutoka.
Kuna mama fulani wa makamo alikuwa anaelekea njia moja na mimi ila yupo mbele yangu ndio anaenda nyumbani kwake sasa nikiongeza mwendo na yeye anaongeza mwendo nisimkaribie mpaka akakata sandals alizokuwa amevaa.
Kumsemesha namuona ana hofu kama anatetemeka na hasira, alibahatisha kuna toyo ilikuwa inapita akaichukua na kwenda nayo umbali haufiki hata nusu kilomita kesho yake nilikuja kusikia stori mtaani eti alinusurika kukabwa na wavuta bangi wa mtaani duh nikajua kumbe najulikana mtaani na na kuogopwa kabisa,
hamna mtu mwenye time na mimi wanajua ni mhuni tu anayepuliza mmea kila saa, na mimi nawaacha wanichukulie hivyo hivyo sitaki mazoea🐒
Aaaaaaaa....umenikumbusha mbali sana nilikuwaga na jirani yangu yeye n mwalimu wa secondary.....alikuwa anaomba kiberiti mpaka perfume.Nakataa ndugu, mtu ambae kwa mwezi anaingiza 500,000tsh anashindwa chaji ya 10,000? Kitu anachotumia mara nyingi?
Ni kuwa bize na kazi ili asikukute Mara kwa Mara nyumbani!Najua jirani ni ndugu wa karibu ila kuna mengine yamezidi.
Jirani alikuwa anakuja kuomba chaji nikaona sio kesi nimenunua nyingine nikamuachia atumie.
Bado basi yake imeharibika hana mpango wa kuitengeneza wala kununua nikaona sikesi usumbufu umezidi nichukue nyingine, sasa naona haajiongezi, chaji ile sijui imekuaje anakuja tena kugonga nimuwekee chaji, waungwana ujirani huu unafanyaje?
Mbona mi sipo hivyo mkuu?Hujakaa na mgogo wewe, ana kazi nzuri tu lkn ataomba omba kila kitu from chaji, chumvi, nyanya, tomato sauce et
Mkuu nitajiribu lakini naona kama hana mshipa wa aibu vile, siku unamuonesha kabisa umekasirika ila bado anarudi tenaMpe ujumbe kuwa hupendelei tabia yake hiyo kwa njia ya indirect... Mwekee chaji akiondoka zima switch akija kuchukua simu haijajaa ..ikitokea hivyo mara tatu harudi
Ukimuendekeza atakuja kuomba mpaka mboga na siku akiwa na wageni atakuomba pa kulala
Mi nataka nije niombe mboga mboga za mwilini zile jirani! Tuendelee na moyo wa mshikamano tuMimi jirani zangu tunaombana mbogamboga kwenye vibustani vyetu. Kama nimepanda mbogamboga hizi yeye hajapanda akiwa ana hamu nazo anakuja kuomba na mimi nikiwa na hamu na za mwenzangu namuomba.
Lakin sio kuombana vitu vingine.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]@Nakadori umekuja kuntangaza mnyaturu wako huku mtandaoni? Au kisa nilikukula kimasihara![emoji3]
Joke, usichukie.
Sio vzr ivo jirani, me nafanya vile ili kuwazuga tuu niepuke vizinga vya michango ya hapa na pale[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mmoja alikuja kuazima pasi akaunguza waya nikakausha bahati nzuri nilikuanayo nyingine ambayo niliinunua nikiwa kwenye safari moja hivi, so kila akija kuomba nampa ile mbovu na sijui anaitumiaje!? Maana haipeleki moto
😁😁 My apology sir.Mbona mi sipo hivyo mkuu?
Ndio zipi hizo mboga mboga za mwilini. Kwani nyingine zinakuaga za wapiMi nataka nije niombe mboga mboga za mwilini zile jirani! Tuendelee na moyo wa mshikamano tu
Za shambani😂 nataka nile matunda nikianza na kokwa hizo kifuani😎Ndio zipi hizo mboga mboga za mwilini. Kwani nyingine zinakuaga za wapi