AiseeKuna mpangaji mwenzangu hapa ana mume wake bodaboda hajamaliza hata wiki picha linaanza asubhi anamtoa mtoto wake aje kuomba uji au chai yaan yy hapiki sana sana ataenda kununua chai au uji, ukifika mchana hapiki chochote mnachopika anataka mumpatia na yy , yaan wiki tu tushamchoka namuonea huruma sana binti yao maana wakat mwingine hata hawajui amekula nn na Yuko wapi....
Wanaume tuangalie sana wanawake wa kuoa jamani.
Chunguza vizuri, huenda kuna "agenda" ya ziada. Jirani yako ni wa jinsia tofauti na yako?Najua jirani ni ndugu wa karibu ila kuna mengine yamezidi.
Jirani alikua anakuja kuomba chaji nikaona sio kesi nimenunua nyingine nikamuachia atumie.
Bado basi yake imeharibika hana mpango wa kuitengeneza wala kununua nikaona sikesi usumbufu umezidi nichukue nyingine, sasa naona haajiongezi, chaji ile sijui imekuaje anakuja tena kugonga nimuwekee chaji, waungwana ujirani huu unafanyaje?
Kuna mmoja alikuja kuazima pasi akaunguza waya nikakausha bahati nzuri nilikuanayo nyingine ambayo niliinunua nikiwa kwrnye safari moja hivi, so kila akija kuomba nampa ile mbovu na sijui anaitumiaje!? Maana haipeleki moto
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimecheka sanaNatengwa na majirani sababu ya mmea, kuna kisa fulani nikikumbuka mpaka nacheka kuna siku nilikuwa naelekea dukani usiku kununua mkate maana kesho yake nilikuwa nawahi asubuhi sana kutoka.
Kuna mama fulani wa makamo alikuwa anaelekea njia moja na mimi ila yupo mbele yangu ndio anaenda nyumbani kwake sasa nikiongeza mwendo na yeye anaongeza mwendo nisimkaribie mpaka akakata sandals alizokuwa amevaa.
Kumsemesha namuona ana hofu kama anatetemeka na hasira, alibahatisha kuna toyo ilikuwa inapita akaichukua na kwenda nayo umbali haufiki hata nusu kilomita kesho yake nilikuja kusikia stori mtaani eti alinusurika kukabwa na wavuta bangi wa mtaani duh nikajua kumbe najulikana mtaani na na kuogopwa kabisa, hamna mtu mwenye time na mimi wanajua ni mhuni tu anayepuliza mmea kila saa, na mimi nawaacha wanichukulie hivyo hivyo sitaki mazoea[emoji205]
Hapa ninavo type kuna jirani yangu yupo ndani kashika na remote zote za screen na king’amuzi yani imebidi nitoke tu nje nimwache lakini ikifika mida ya mechi za mpila naenda kumtoa..yan mtu ukimcheki mnaheshimiana lakini mambo yake ukiyatafakari unakuwa unajiuliza inamaana yeye haoni majirani zake wanaishi vipi..
Lahaulaaa... Mkuu! Umeniacha hoi...Kuna mmoja alikuja kuazima pasi akaunguza waya nikakausha bahati nzuri nilikuanayo nyingine ambayo niliinunua nikiwa kwrnye safari moja hivi, so kila akija kuomba nampa ile mbovu na sijui anaitumiaje!? Maana haipeleki moto
Watu bana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Natengwa na majirani sababu ya mmea, kuna kisa fulani nikikumbuka mpaka nacheka kuna siku nilikuwa naelekea dukani usiku kununua mkate maana kesho yake nilikuwa nawahi asubuhi sana kutoka.
Kuna mama fulani wa makamo alikuwa anaelekea njia moja na mimi ila yupo mbele yangu ndio anaenda nyumbani kwake sasa nikiongeza mwendo na yeye anaongeza mwendo nisimkaribie mpaka akakata sandals alizokuwa amevaa.
Kumsemesha namuona ana hofu kama anatetemeka na hasira, alibahatisha kuna toyo ilikuwa inapita akaichukua na kwenda nayo umbali haufiki hata nusu kilomita kesho yake nilikuja kusikia stori mtaani eti alinusurika kukabwa na wavuta bangi wa mtaani duh nikajua kumbe najulikana mtaani na na kuogopwa kabisa, hamna mtu mwenye time na mimi wanajua ni mhuni tu anayepuliza mmea kila saa, na mimi nawaacha wanichukulie hivyo hivyo sitaki mazoea[emoji205]
Duu kumbe wako wengi, kwakweli hii hali inatia hasira, na kibaya unakuta hata ukisema umuoneshe mtu kua umekasirika ila yeye hajiongezi, atarudi tenaKuna mpangaji mwenzangu hapa ana mume wake bodaboda hajamaliza hata wiki picha linaanza asubhi anamtoa mtoto wake aje kuomba uji au chai yaan yy hapiki sana sana ataenda kununua chai au uji, ukifika mchana hapiki chochote mnachopika anataka mumpatia na yy , yaan wiki tu tushamchoka namuonea huruma sana binti yao maana wakat mwingine hata hawajui amekula nn na Yuko wapi....
Wanaume tuangalie sana wanawake wa kuoa jamani.
Kama ni jinsia tofauti na wewe Kuna anachohitaji zaidi ya hiyo charger !!Najua jirani ni ndugu wa karibu ila kuna mengine yamezidi.
Jirani alikua anakuja kuomba chaji nikaona sio kesi nimenunua nyingine nikamuachia atumie.
Bado basi yake imeharibika hana mpango wa kuitengeneza wala kununua nikaona sikesi usumbufu umezidi nichukue nyingine, sasa naona haajiongezi, chaji ile sijui imekuaje anakuja tena kugonga nimuwekee chaji, waungwana ujirani huu unafanyaje?
[emoji23][emoji23][emoji1914]Kuna mmoja alikuja kuazima pasi akaunguza waya nikakausha bahati nzuri nilikuanayo nyingine ambayo niliinunua nikiwa kwrnye safari moja hivi, so kila akija kuomba nampa ile mbovu na sijui anaitumiaje!? Maana haipeleki moto