EmmanueldTz
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 288
- 262
Watu mna dhambii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna mmoja alikuja kuazima pasi akaunguza waya nikakausha bahati nzuri nilikuanayo nyingine ambayo niliinunua nikiwa kwenye safari moja hivi, so kila akija kuomba nampa ile mbovu na sijui anaitumiaje!? Maana haipeleki moto
[emoji57]Za shambani[emoji23] nataka nile matunda nikianza na kokwa hizo kifuani[emoji41]
huyo ni balaa alimpa mpka kisamvu marinda yalipona kweliBora nyie wanawaomba wenyewe jamani sisi tunaoshinda maofisini nyumnba inabaki na dada, akibaki dada wataombana watapeana na hodi zitagongwa.
NIkiwa nipo home husikii hodi wala kuombana.
Yaani kuna siku wameombana kisamvu [emoji23][emoji23][emoji23] ile nimefika kisamvu kimeingizwa na dada ndani.
Kumuuliza anasema nilikuwa na hamu nacho.
Nikamuuliza ulishindwa nini kuchuma ukatwanga na kupika ili tule nyumba nzima?je na wewe huwa unampa nini hadi yeye akupe kisamvu?na kama unampa hivi vitu ni vyako?
Mind you kisamvu nimepanda uwanjani kwangu, nazi na karanga zipo ndani.
Hufai kuwa jiranihuyo ni balaa alimpa mpka kisamvu marinda yalipona kweli
Kumbe hata vtabu vya Mungu vinajua? Kuna wahuni walikua wanakuja gheto wanashika remot zote hata nikiwa kazin wananipigia sim nawaachia funguo mwsho wa siku mazoea yakazidi wakaanza had kuamisha baadhi ya vtu vyangu kutoka sehem moja had nyingineSomeni hapa chini Mnaoomba omba[emoji116]View attachment 1987768
Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Duuh! ππKuna mmoja alikuja kuazima pasi akaunguza waya nikakausha bahati nzuri nilikuanayo nyingine ambayo niliinunua nikiwa kwenye safari moja hivi, so kila akija kuomba nampa ile mbovu na sijui anaitumiaje!? Maana haipeleki moto
Najua jirani ni ndugu wa karibu ila kuna mengine yamezidi.
Jirani alikuwa anakuja kuomba chaji nikaona sio kesi nimenunua nyingine nikamuachia atumie.
Bado basi yake imeharibika hana mpango wa kuitengeneza wala kununua nikaona sikesi usumbufu umezidi nichukue nyingine, sasa naona haajiongezi, chaji ile sijui imekuaje anakuja tena kugonga nimuwekee chaji, waungwana ujirani huu unafanyaje?
Alooo hadi kisamvu kinatafutwa kwa uvumbaBora nyie wanawaomba wenyewe jamani sisi tunaoshinda maofisini nyumnba inabaki na dada, akibaki dada wataombana watapeana na hodi zitagongwa.
NIkiwa nipo home husikii hodi wala kuombana.
Yaani kuna siku wameombana kisamvu [emoji23][emoji23][emoji23] ile nimefika kisamvu kimeingizwa na dada ndani.
Kumuuliza anasema nilikuwa na hamu nacho.
Nikamuuliza ulishindwa nini kuchuma ukatwanga na kupika ili tule nyumba nzima?je na wewe huwa unampa nini hadi yeye akupe kisamvu?na kama unampa hivi vitu ni vyako?
Mind you kisamvu nimepanda uwanjani kwangu, nazi na karanga zipo ndani.
Hayo ndio maisha ndugu hakuna mkamilifu kama uwezo wa kumsaidia kila akiomba unao we toa tu .Kumbe hata vtabu vya Mungu vinajua? Kuna wahuni walikua wanakuja gheto wanashika remot zote hata nikiwa kazin wananipigia sim nawaachia funguo mwsho wa siku mazoea yakazidi wakaanza had kuamisha baadhi ya vtu vyangu kutoka sehem moja had nyingine
Sahiv nimewakinai ni full ukauzu had wanajiuliza hivi huyu mwana ndo yule?
Maana ilifika hatua nilikua nikiwa nimelala mchna wanagonga mlango nisipoitika wanafungua wanaingia ndan wanawasha Tv hiyo ndo iliniuma zaid, pia Kuna siku demu alikuja kunitembelea wanaona Niko na demu lakin nao wamekaza hawaondok wamekaa hapohapo had muda ukaisha daah
Kwa Sasa nimewakinai balaa stak mazoea maana kwa mazoea yalipokua yamefikia ipo siku hata nikioa watakua wanakuja kwa mke wangu kunyang'anyana nae remote hawana mipaka wakat mm nina mipaka na uhuru wao
Kwa mujibu wa Imani yangu naamini ya kuwaHayo ndio maisha ndugu hakuna mkamilifu kama uwezo wa kumsaidia kila akiomba unao we toa tu .
Akuna mtu anapenda kuomba omba , alie kupa wewe ndiye huyo huyo aliye mnyima mwenzio.
Kwaiyo ni kuvumiliana tu na kuoneana huruma madhali unacho basi we toa tu.
Fanya kaziMkuu haya maisha ya kuomba omba hakuna anaye yapenda inafikia kipindi unapigika haswaa unakosa hata pesa ya kununua mboga,
Wavumilie tu ndugu yangu maisha yanabana sana
Habari, kama uko macho naomba please nipmπππ haki vile.
Mbona maisha hayo yalishapitwa sana na wakati jamani?Najua jirani ni ndugu wa karibu ila kuna mengine yamezidi.
Jirani alikuwa anakuja kuomba chaji nikaona sio kesi nimenunua nyingine nikamuachia atumie.
Bado basi yake imeharibika hana mpango wa kuitengeneza wala kununua nikaona sikesi usumbufu umezidi nichukue nyingine, sasa naona haajiongezi, chaji ile sijui imekuaje anakuja tena kugonga nimuwekee chaji, waungwana ujirani huu unafanyaje?
Mkuu kuomba ni tabia ya mtu na Wala sio shida, kuna mtu ana shida.na bado haombiMkuu haya maisha ya kuomba omba hakuna anaye yapenda inafikia kipindi unapigika haswaa unakosa hata pesa ya kununua mboga,
Wavumilie tu ndugu yangu maisha yanabana sana
Makabila yote ya mkoa baadhi ni waombaji wazuri hadi keroHujakaa na mgogo wewe, ana kazi nzuri tu lkn ataomba omba kila kitu from chaji, chumvi, nyanya, tomato sauce et