Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaWanasaidia maisha yanaenda.Wapongeze.
Labda pesa unazompa hazimtoshi.Kuna huyu mpenzi wangu nashindwa kumuelewa, amekuwa na tabia ya udokozi udokozi wa hela.
Yeye haombi, akiona kuna laki atanivizia nikiwa nimelewa, anachomoa kama arobaini hivi anakaa kimya; huku akijua labda mimi nimepoteza kumbu kumbu.
Nikiuliza, mbona hapa hela imepungua; anasema labda sikuhesabu vizuri kabla.
Tabia hii, imekua ikijirudia; hii ni mara ya pili.
Natamani kumpiga chini, ila ndio hivyo tena ana kitambi.
Kumuambia kuwa yeye ndio amebeba, najua atajisikia vibaya ingawa ndio ukweli wenyewe.
Nataka nije nipige mkwara kwa kumuambia, nataka nisome albadiri kwa yule anayedokoa dokoa visalio vyangu apate madhara, ili nimsikie atasemaje.
Wakuu mna maoni gani?
Nimejikaza kuandika point😁😁😁Nimekuelewa
UlijichanganyaDiploma
Stay within your scope of work 🥰je wewe nimwanamke nikusaidie kitu?
Lakni alikua chomboUlijichanganya
Stay within your scope of work 🥰
sema upone mkuu
Msichana anayedhubutu kuiba guest inaonekana ni mzoefu mno! Umri wake?Lakni alikua chombo
Kwa wakati ule nadhani alikuwa 20-22, lakini ni mdokozi tuMsichana anayedhubutu kuiba guest inaonekana ni mzoefu mno! Umri wake?
Ana mimba! Mtarajiwa babu!ngoja kwanza unapendaje mwanamke mwenye kitambi?
Kuna huyu mpenzi wangu nashindwa kumuelewa, amekuwa na tabia ya udokozi udokozi wa hela.
Yeye haombi, akiona kuna laki atanivizia nikiwa nimelewa, anachomoa kama arobaini hivi anakaa kimya; huku akijua labda mimi nimepoteza kumbu kumbu.
Nikiuliza, mbona hapa hela imepungua; anasema labda sikuhesabu vizuri kabla.
Tabia hii, imekua ikijirudia; hii ni mara ya pili.
Natamani kumpiga chini, ila ndio hivyo tena ana kitambi.
Kumuambia kuwa yeye ndio amebeba, najua atajisikia vibaya ingawa ndio ukweli wenyewe.
Nataka nije nipige mkwara kwa kumuambia, nataka nisome albadiri kwa yule anayedokoa dokoa visalio vyangu apate madhara, ili nimsikie atasemaje.
Wakuu mna maoni gani?
Nakuona una furaha teleHahahaha
Ana ka zaigoti 😀ngoja kwanza unapendaje mwanamke mwenye kitambi?
Nakuona una furaha tele
Nahisi anaweza kujisikia vibaya; ingawa mpaka sasa sijampigia simu naye pia hajanitafutaMwambie ukweli tu....labda hiyo tabia amekuwa nayo muda mrefu sasa kupitia wewe anaweza kujirekebisha
Kuna wengine walikuwa walevi,wakaacha kutokana na hekima za wapenzi wao...sembuse hiyo
Anadaiwa ada za watoto huyo; hakujipanga mapemaHahahaha Equation x ya kweli haya??