Unaishi vipi na mpenzi wako mwenye asili ya udokozi?

Unaishi vipi na mpenzi wako mwenye asili ya udokozi?

Mwambie baby wangu,,tupo wawili tu hapa,kuna hela huwa zinapotea,sitaki kuamini kuwa una tabia hii ila huenda una mahitaji unataka kuyasolve unaona aibu kuniambia

Just tell me baby wangu usiwe na hofu,hakika wewe ni mwanamke mrembo sana kufanya mambo kama haya,,,love you

Akikuibia tena nitag
Nitaifanyia kazi
 
Dawa yake ndogo huyo uwe unamkabidhi yeye baada ya kumpa azihesabu mwenyewe pia unamsainisha.
Mchawi mpe mtoto amlee mwenyewe
 
Dawa yake ndogo huyo uwe unamkabidhi yeye baada ya kumpa azihesabu mwenyewe pia unamsainisha.
Mchawi mpe mtoto amlee mwenyewe
 
Back
Top Bottom