Nyamwi255
JF-Expert Member
- Dec 2, 2022
- 4,848
- 12,776
H
Hahahaha kwakweli itakuwa hivo...Anadaiwa ada za watoto huyo; hakujipanga mapema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha kwakweli itakuwa hivo...Anadaiwa ada za watoto huyo; hakujipanga mapema
Inatokea tu kumuaminiMkuu si uwe unazificha, tatizo unaziweka hovyo sana.
Inabidi umuambie aache hiyo tabia, ipo siku atakuibia hata vitu vikubwa halafu akasepa zakeInatokea tu kumuamini
Nitaifanyia kaziMwambie baby wangu,,tupo wawili tu hapa,kuna hela huwa zinapotea,sitaki kuamini kuwa una tabia hii ila huenda una mahitaji unataka kuyasolve unaona aibu kuniambia
Just tell me baby wangu usiwe na hofu,hakika wewe ni mwanamke mrembo sana kufanya mambo kama haya,,,love you
Akikuibia tena nitag
Najaribu kumuacha taratibu kwa kukata mawasilianoJiepushie matatizo ya baadae kwa kumuacha!
Nipe maelekezo mkuuUnatafuta mbinu yakukaa na mwanamke mwizi??
Kama alikuja bila begi lenye mzigo mzito mpe nahuri aludi nyumbani.Nipe maelekezo mkuu
Nahuri ndo nini mahi?Kama alikuja bila begi lenye mzigo mzito mpe nahuri aludi nyumbani.
Nakama alikuja begi lake ninzito linahitaji usafiri mpe nahuri na hela ya usafiri wavitu,mzigo wake.
Najaribu kumuacha taratibu kwa kukata mawasiliano
Ana mimbangoja kwanza unapendaje mwanamke mwenye kitambi?
Elewa codengoja kwanza unapendaje mwanamke mwenye kitambi?
Mwenzio yuko kazini na hayo ni marupurupu 🤣Nakumbuka nilienda lodge na mrembo fulani kitambo, eti akaondoka na sabuni na tomato.
Alitaka kuchukua shuka nikamkataza, nilimshangaa sana kwakweli
Sasa kile kisabuni kidogo ndyo kinamtia tamaa?Mwenzio yuko kazini na hayo ni marupurupu 🤣
Anaonekana ana hali ngumu wifi yetu masikini😄🤣Sasa kile kisabuni kidogo ndyo kinamtia tamaa?
Ni wewe tuKuna sample ya mwanamke umebakiza kwel wew