Unaishi vipi na mwanaume asiyepokea ushauri wa mwenza/ watu wengine?

Na imekuaje mwanamama wewe kujiita mkushi?
 
Ka hapokei ushauri akikuuliza jambo lolote LA ushauri we mwambie ngoja nifikirie (ignore in a positive side), akifanya lolote we mwambie ni zuri ... So long as halikuathiri
 
Kwanza ujiulize, Je, ni kwa nini hapokei ushauri wako????Je, Ushauri wako unaompatia ni mzuri na kweli una tija???? Je, huo ushauri wako unaompatia ni 'Constructive' au 'Destructive'??
Isije ikawa ushauri wako unaotoa ndio chanzo cha tatizoT
Kwanza ujiulize, Je, ni kwa nini hapokei ushauri wako????Je, Ushauri wako unaompatia ni mzuri na kweli una tija???? Je, huo ushauri wako unaompatia ni 'Constructive' au 'Destructive'??
Isije ikawa ushauri wako unaotoa ndio chanzo cha tatizo
Sasa ushauri wangu unakuaje chanzo cha tatizo na hauchukui?
 
Kama ulikuwepo ni kweli kabisa,ngoja niendelee kupambana may b one day nitapata majibu chanya.
 
Wewe upo vizuri,kwasababu matokeo unayabeba mwenyewe.
 
Ukiona hakusikilizi basi hilo jambo lifanye wewe. Kama project A kaiacha kaenda project B, basi wewe chukua jukumu la kuendeleza hiyo project A.

Kama kanunua kitu ambacho hakina umuhimu, basi wewe toa pesa yako nunua kile ulichomshauri. Akiona unachukua maamuzi, basi atakuja muungane.
 
Hujawahi kukutana na watu wasioshaurika. Na kama atakubali kufata ushauri wako ikitokea tatizo lolote lawama zinakuja kwako. Ni watu wagumu sana kudeal nao..
Mkuu hata wewe inaonekana ni aina ya watu kama mleta mada, mnapanick ushauri wenu usipotekelezwa na yakatokea maafa.

Badala yake mnalaumu na kulazimisha next time fata ushauri wangu. Kwa mwanaume hiyo ni ngumu hasa kama yeye ndo mwenye fuba.
 
Mkuu hata wewe inaonekana ni aina ya watu kama mleta mada, mnapanick ushauri wenu usipotekelezwa na yakatokea maafa.

Badala yake mnalaumu na kulazimisha next time fata ushauri wangu. Kwa mwanaume hiyo ni ngumu hasa kama yeye ndo mwenye fuba.
Mimi sipanick mtu asipotekeleza ushauri wangu...kwanza nimeshaacha kutoa ushauri maana haisaidii...
Namwacha afanye atakavyo..ikitokea kachemka namwambia neno moja tu nimemaliza...POLE.

Akiomba ushauri namwambia fanya tu vile unavyoona ni sawa. Hakuna haja ya kupanic
 
Usifosi ushauri wako utumike kwenye pesa ya mtu mwingine, we kama umeolewa base kwenye duties zako zinazokuhusu kama kufua, kupika na usafi hayo mengine ni juu ya mme wako akiamua akushirikishe ni sawa asipo amua kukushirikisha ni sawa pia kwasababu Yeye ndio Bosi kwenye familia yenu anajua nini atafanya chakula kipatikane na wewe kama mke wake upendeze.
 
Sasa kwa style hiii mkuu unakuta malengo ya familia yanachelewa au hayafikiwi kutokana na ukaidi/kutokuwa na masikilizano ya mtu mmoja yanagharimu familia nzima kwa ujumla mkubwa.
Wewe ulipoanza kufanya Plan zako yeye mbona hakupinga??? Wanawake huwa mna changamotoo sanaa unataka ununue kiwanja kimyakimyaa au ufanye ujenzi kiwanja cha urithi bila kiomba ushaurii ila mwenzio akianza kufanya jambo lake unaona hayupo sahihiii..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…