CONTRARIAN
JF-Expert Member
- Jun 21, 2023
- 982
- 3,137
Nazungumzia mtu ambaye kwa kiasi kikubwa mpo karibu sana..
Yaani kama ni mpenzi yeye anataka udaku, kudinyana, romance...
Rafiki naye, stori ni za Mahusiano tuu, n.k
Kwa ufupi hakupi challenge yoyote ile.., kuna mda unahitaji kua peke yako ili angalau uwaze nje ya boksi,
Ukimshirikisha jambo/mchongo anaitika ila soon analipotezea.., yeye ni wa mshahara.., kuna michongo mingi sana anapata ila anaipotezea,
Kimaendeleo angekua mbali mnoo kunizidi, kwa ufupi ana bahati, kuna mda ukimuuliza kwa nini upo hivi? Anakua kama anachukia, hapo nashindwa kuendelea, nishamuunganishaga na dili moja la maana na uhakika baadae akalitema, nikampa lijama flani lisilo na shukrani.
Unakaa unajiuliza hivi huyu kuna hata dk inaenda anawaza future yake?, maana yake achilia mbali tuu kutokushirikisha,
Ni mtu ambaye Kwa ufupi unamjua IN and OUT hana anachokifanya....
Ikiwa ni wewe utafanyaje? Kwa upande mwingine ni mtu poa sanaa, very friendly na supportive.
Ila natamani abadilike.
Yaani kama ni mpenzi yeye anataka udaku, kudinyana, romance...
Rafiki naye, stori ni za Mahusiano tuu, n.k
Kwa ufupi hakupi challenge yoyote ile.., kuna mda unahitaji kua peke yako ili angalau uwaze nje ya boksi,
Ukimshirikisha jambo/mchongo anaitika ila soon analipotezea.., yeye ni wa mshahara.., kuna michongo mingi sana anapata ila anaipotezea,
Kimaendeleo angekua mbali mnoo kunizidi, kwa ufupi ana bahati, kuna mda ukimuuliza kwa nini upo hivi? Anakua kama anachukia, hapo nashindwa kuendelea, nishamuunganishaga na dili moja la maana na uhakika baadae akalitema, nikampa lijama flani lisilo na shukrani.
Unakaa unajiuliza hivi huyu kuna hata dk inaenda anawaza future yake?, maana yake achilia mbali tuu kutokushirikisha,
Ni mtu ambaye Kwa ufupi unamjua IN and OUT hana anachokifanya....
Ikiwa ni wewe utafanyaje? Kwa upande mwingine ni mtu poa sanaa, very friendly na supportive.
Ila natamani abadilike.