Unaizungumziaje hotuba nzuri, muafaka na muhimu sana ya Kitaifa na Kimataifa ya Rais Samia?

Unaizungumziaje hotuba nzuri, muafaka na muhimu sana ya Kitaifa na Kimataifa ya Rais Samia?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Rais alihutubia Taifa Jana..
Ilikua ni hotuba ya kuponya na kutibu maumivu ya fikra na kuleta ahueni na matumaini mapya mioyoni mwa waTanzania.

Ni hotuba nzito na ya kimamlaka, ya kiongozi mkuu wa nchi mwenye nguvu sana, na yenye maelekezo muhimu mazito na ya maana sana kwa nchi, mataifa na dunia nzima, kuyatilia maanani na kuyazingatia..

Rais ameonyesha njia na ameapa kulinda kiapo chake na kuilinda amani ya waTanzania kwa gharama yoyote. Amewaondoa hofu waTanzania. Amewarejeshea matumaini ya utulivu na umoja miongoni mwao. Ni hotuba ya kuwaunganisha wananchi na kuwaleta pamoja waTanzania..

Ni hotuba ya kutoruhusu mchafuko wala vitendo vya uvunjifu wa amani nchini. Ni hotuba ya kuwaonya makhulukutubu wate kutokuthubutu kuhatarisha amani ya nchi na kuturudisha nyuma..

Ni hotuba ya kuwahakikishia waTanzania kwamba, Amani na utulivu wa nchi yetu tutailinda kwa Gharama yoyote ile, kama nchi nyingine zinavyolinda nchi zao, nasi waTanzania tutalinda nchi yetu kwa gharama yoyote..

Rais amesisitiza sana kuhusu mambo malimbali ya kitaifa kwa kusema, mathalani, nanukuu,

" Niliwahi kusema, na hapa nataka nirudie tena kwa msisitizo. Ukimya wangu sio ujinga, na wala kuzungumza sana kwa wale wanao zungumza sana, sio werevu hata kidogo"
mwisho wa kumnukuu mh.rais..

Mh.Rais Dr.Samia Suluhu Hassan kipenzi cha waTanzania, ameapa kulinda katiba ya Tanzania, na ana wajibu na dhamana kulinda amani ya nchi kwa gharama yoyote...

It was very powerful speech to the world..

kizalendo zaidi, unaizungumiaje hotuba ile kwa Taifa letu na dunia nzima?🐒
 
Katiba imekwisha sema raisi wa jamhuri ya muungano ndiye mwenye mamlaka nani mwingine anene juu yake.Hotuba bora kabisa tangu aapishwe!
 
Hotuba ya Samia imezidi kuongeza Sintofahamu na Mizozo.
 
Rais alihutubia Taifa Jana..

Ni hotuba nzito na ya kimamlaka, ya kiongozi mkuu wa nchi mwenye nguvu sana, na yenye maelekezo muhimu mazito na ya maana sana kwa nchi, mataifa na dunia nzima, kuyatilia maanani na kuyazingatia..

Rais ameonyesha njia na ameapa kulinda kiapo chake na kuilinda amani ya waTanzania kwa gharama yoyote. Amewaondoa hofu waTanzania. Amewarejeshea matumaini ya utulivu na umoja miongoni mwao. Ni hotuba ya kuwaunganisha wananchi na kuwaleta pamoja waTanzania..

Ni hotuba ya kutoruhusu mchafuko wala vitendo vya uvunjifu wa amani nchini. Ni hotuba ya kuwaonya makhulukutubu wate kutokuthubutu kuhatarisha amani ya nchi na kuturudisha nyuma..

Ni hotuba ya kuwahakikishia waTanzania kwamba, Amani na utulivu wa nchi yetu tutailinda kwa Gharama yoyote ile, kama nchi nyingine zinavyolinda nchi zao, nasi waTanzania tutalinda nchi yetu kwa gharama yoyote..

Rais amesisitiza sana kuhusu mambo malimbali ya kitaifa kwa kusema, mathalani, nanukuu,

" Niliwahi kusema, na hapa nataka nirudie tena kwa msisitizo. Ukimya wangu sio ujinga, na wala kuzungumza sana kwa wale wanao zungumza sana, sio werevu hata kidogo"
mwisho wa kumnukuu mh.rais..

Mh.Rais Dr.Samia Suluhu Hassan kipenzi cha waTanzania, ameapa kulinda katiba ya Tanzania, na ana wajibu na dhamana kulinda amani ya nchi kwa gharama yoyote...

It was very powerful speech to the world..

kizalendo zaidi, unaizungumiaje hotuba ile kwa Taifa letu na dunia nzima?🐒
Kwa hotuba ile,kweli nimeamini sasa tunaongozwa na majuha aisee.
 
Rais alihutubia Taifa Jana..

Ni hotuba nzito na ya kimamlaka, ya kiongozi mkuu wa nchi mwenye nguvu sana, na yenye maelekezo muhimu mazito na ya maana sana kwa nchi, mataifa na dunia nzima, kuyatilia maanani na kuyazingatia..

Rais ameonyesha njia na ameapa kulinda kiapo chake na kuilinda amani ya waTanzania kwa gharama yoyote. Amewaondoa hofu waTanzania. Amewarejeshea matumaini ya utulivu na umoja miongoni mwao. Ni hotuba ya kuwaunganisha wananchi na kuwaleta pamoja waTanzania..

Ni hotuba ya kutoruhusu mchafuko wala vitendo vya uvunjifu wa amani nchini. Ni hotuba ya kuwaonya makhulukutubu wate kutokuthubutu kuhatarisha amani ya nchi na kuturudisha nyuma..

Ni hotuba ya kuwahakikishia waTanzania kwamba, Amani na utulivu wa nchi yetu tutailinda kwa Gharama yoyote ile, kama nchi nyingine zinavyolinda nchi zao, nasi waTanzania tutalinda nchi yetu kwa gharama yoyote..

Rais amesisitiza sana kuhusu mambo malimbali ya kitaifa kwa kusema, mathalani, nanukuu,

" Niliwahi kusema, na hapa nataka nirudie tena kwa msisitizo. Ukimya wangu sio ujinga, na wala kuzungumza sana kwa wale wanao zungumza sana, sio werevu hata kidogo"
mwisho wa kumnukuu mh.rais..

Mh.Rais Dr.Samia Suluhu Hassan kipenzi cha waTanzania, ameapa kulinda katiba ya Tanzania, na ana wajibu na dhamana kulinda amani ya nchi kwa gharama yoyote...

It was very powerful speech to the world..

kizalendo zaidi, unaizungumiaje hotuba ile kwa Taifa letu na dunia nzima?🐒
Mtasifia sana chawa wake,ila mwenye akili timamu anaona wazi kwamba it is hollow and empty hamna kitu.
 
Ni hotuba itakayowatoa pangoni watekaji na wauaji wote na kuwa hadharani kweupe na waache tabia hiyo.
Rais alihutubia Taifa Jana..

Ni hotuba nzito na ya kimamlaka, ya kiongozi mkuu wa nchi mwenye nguvu sana, na yenye maelekezo muhimu mazito na ya maana sana kwa nchi, mataifa na dunia nzima, kuyatilia maanani na kuyazingatia..

Rais ameonyesha njia na ameapa kulinda kiapo chake na kuilinda amani ya waTanzania kwa gharama yoyote. Amewaondoa hofu waTanzania. Amewarejeshea matumaini ya utulivu na umoja miongoni mwao. Ni hotuba ya kuwaunganisha wananchi na kuwaleta pamoja waTanzania..

Ni hotuba ya kutoruhusu mchafuko wala vitendo vya uvunjifu wa amani nchini. Ni hotuba ya kuwaonya makhulukutubu wate kutokuthubutu kuhatarisha amani ya nchi na kuturudisha nyuma..

Ni hotuba ya kuwahakikishia waTanzania kwamba, Amani na utulivu wa nchi yetu tutailinda kwa Gharama yoyote ile, kama nchi nyingine zinavyolinda nchi zao, nasi waTanzania tutalinda nchi yetu kwa gharama yoyote..

Rais amesisitiza sana kuhusu mambo malimbali ya kitaifa kwa kusema, mathalani, nanukuu,

" Niliwahi kusema, na hapa nataka nirudie tena kwa msisitizo. Ukimya wangu sio ujinga, na wala kuzungumza sana kwa wale wanao zungumza sana, sio werevu hata kidogo"
mwisho wa kumnukuu mh.rais..

Mh.Rais Dr.Samia Suluhu Hassan kipenzi cha waTanzania, ameapa kulinda katiba ya Tanzania, na ana wajibu na dhamana kulinda amani ya nchi kwa gharama yoyote...

It was very powerful speech to the world..

kizalendo zaidi, unaizungumiaje hotuba ile kwa Taifa letu na dunia nzima?🐒
 
Hotuba ya Jana ni moja ya Hotuba Bora kabisa katika Historia ya Taifa letu iliyotolewa kwa wakati Muafaka.Ni hotuba ambayo unaweza kutamani iwekwe pale makao makuu ya AU Addis Ababa Athiopia ,ili viongozi wa kiafrika wa sasa na wajao wawe wanaipitia pitia kujifunza. Ni hotuba ya karne na ya Mwaka. Ni hotuba ambayo imejaa kila aina ya virutubisho kwa afya ya Mwanadamu.
 
Mama amepabic mama ameingia baridi mama haamini! mama hata hajui tena cha kuongea . 🤢🤣🤣🤣
 
Rais alihutubia Taifa Jana..
Ilikua ni hotuba ya kuponya na kutibu maumivu ya fikra na kuleta ahueni na matumaini mapya mioyoni mwa waTanzania.

Ni hotuba nzito na ya kimamlaka, ya kiongozi mkuu wa nchi mwenye nguvu sana, na yenye maelekezo muhimu mazito na ya maana sana kwa nchi, mataifa na dunia nzima, kuyatilia maanani na kuyazingatia..

Rais ameonyesha njia na ameapa kulinda kiapo chake na kuilinda amani ya waTanzania kwa gharama yoyote. Amewaondoa hofu waTanzania. Amewarejeshea matumaini ya utulivu na umoja miongoni mwao. Ni hotuba ya kuwaunganisha wananchi na kuwaleta pamoja waTanzania..

Ni hotuba ya kutoruhusu mchafuko wala vitendo vya uvunjifu wa amani nchini. Ni hotuba ya kuwaonya makhulukutubu wate kutokuthubutu kuhatarisha amani ya nchi na kuturudisha nyuma..

Ni hotuba ya kuwahakikishia waTanzania kwamba, Amani na utulivu wa nchi yetu tutailinda kwa Gharama yoyote ile, kama nchi nyingine zinavyolinda nchi zao, nasi waTanzania tutalinda nchi yetu kwa gharama yoyote..

Rais amesisitiza sana kuhusu mambo malimbali ya kitaifa kwa kusema, mathalani, nanukuu,

" Niliwahi kusema, na hapa nataka nirudie tena kwa msisitizo. Ukimya wangu sio ujinga, na wala kuzungumza sana kwa wale wanao zungumza sana, sio werevu hata kidogo"
mwisho wa kumnukuu mh.rais..

Mh.Rais Dr.Samia Suluhu Hassan kipenzi cha waTanzania, ameapa kulinda katiba ya Tanzania, na ana wajibu na dhamana kulinda amani ya nchi kwa gharama yoyote...

It was very powerful speech to the world..

kizalendo zaidi, unaizungumiaje hotuba ile kwa Taifa letu na dunia nzima?🐒
Ni hotuba mbovu kuwahi kutolewa na mama mpaka sasa na ilisheheni vitisho na dharau kwa watu na demokrasi ya nchi yetu. Kisitokee tena kitu kama hiki.
 
Ni hotuba mbovu kuwahi kutolewa na mama mpaka sasa na ilisheheni vitisho na dharau kwa watu na demokrasi ya nchi yetu. Kisitokee tena kitu kama hiki.
infact,
itajadiliwa mno, nadhani mwezi mzima huu kutokana na mambo mazito yalozungumzwa ndani yake...

vyombo mbalimbali vya Kitaifa na kimatafa vinajadili sana a powerful speech ya Rais Dr. Samia Suluhu Hassan 🐒
 
Back
Top Bottom