Unajamba mara ngapi kwa siku?

Unajamba mara ngapi kwa siku?

Status
Not open for further replies.
Kuna wengine wakila maharage wanavimbiwa, mwendo ni kujamba tu bila kujua umejamba mara ngapi.
Ni kweli ni ngumu kuhesabu,japo ukiweka nia unaweza,pia najaribu kufikiri kuwa huenda kujamba kunaweza kukuongezea kipato,iwapo italetwa teknolojia ya kuhifafhi gesi inayotokana na mifuzi,mifuzi ni kijana cha kitendo kujamba
 
Utaenda mbele utarudi nyuma lakini kujamba kuko palepale....

Hutaki acha.
 
Kujamba kwa kweli wakati mwingine huleta raha kwani utumbo unapojaa hewa hukaza, unapojamba hulegea na kuleta ahueni. Mtu mzima hujamba kwa siri bila kutoa mlio wa kijambo. Ukijamba hadharani na mlio ukatoka utaonekana huna akili au umeamua tu kushangaza watu
 
Kujamba kwa kweli wakati mwingine huleta raha kwani utumbo unapojaa hewa hukaza, unapojamba hulegea na kuleta ahueni. Mtu mzima hujamba kwa siri bila kutoa mlio wa kijambo. Ukijamba hadharani na mlio ukatoka utaonekana huna akili au umeamua tu kushangaza watu
ok
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom