fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
- Thread starter
-
- #21
Ni kweli ni ngumu kuhesabu,japo ukiweka nia unaweza,pia najaribu kufikiri kuwa huenda kujamba kunaweza kukuongezea kipato,iwapo italetwa teknolojia ya kuhifafhi gesi inayotokana na mifuzi,mifuzi ni kijana cha kitendo kujambaKuna wengine wakila maharage wanavimbiwa, mwendo ni kujamba tu bila kujua umejamba mara ngapi.
Sio 60 ni 64,hii ni topic kubwa sana na yenye manufaa makubwa sana,usiiangalie kwa ufinyu wa mtizamoJf inazidi kutumbukia shimoni
Halafu wewe ulisema una miaka 60!
Ndugu hii topic yenye mawanda mapana sana na ina ncha 2,kwanza ni hoja ya kiafya na pili upo uwezekano mkubwa ku tap gedi inayotokana na kujamba ikawa na manufaa makubwaJf inazidi kutumbukia shimoni
Halafu wewe ulisema una miaka 60!
asante kwa majibu,japo watu wenye akili finyu,wanadhani suala hili halina maana yoyoteKiafya binadum anapaswa kwa siku moja ajampe mala 20 yani ndani ya masaa 24 ujampe mala 20
Kwenu hamna wakubwa wewe nyau wakichagaπ€£π€£
ππ€£π€£ Unajamba mara ngapiKwenu hamna wakubwa wewe nyau wakichagaπ€£π€£
Ni muda tu nilikuwa naona dalili ambazo si sahihi kwenye nyuzi zako. Nikamwambia mtu kuwa "huyu jamaa ndo basi tena ana mwelekeo wa mlengo wa kushoto" nlikuwa sahihi. Hii dunia imeharibika sana.Na unapojamba unapata raha au unapata nafuu fulani? Na kati ya mwanaume na mwanamke,yupi hujamba mara nyingi zaidi?
Hujakaa na wachina wewe, bado hujasemaIsije kuwa ndo umekaa karibu na mimi Mkuu!
Maana naona hapa nilipo tumbo limejaa gesi kwa sababu ya vijambo vyako, hebu jaribu kuwa msitaarabu basi.
Kuna sehemu za kwenda kujambia.
Na utaratibu ni kwamba, ukimaliza kujamba, unatawaza kwa maji.
πππππNimekoma kufungua JF huku unakula, nimekutana na thread ya ovyo sana leo. hadi nimemuita mtoto atoe chakula.
okKujamba kwa kweli wakati mwingine huleta raha kwani utumbo unapojaa hewa hukaza, unapojamba hulegea na kuleta ahueni. Mtu mzima hujamba kwa siri bila kutoa mlio wa kijambo. Ukijamba hadharani na mlio ukatoka utaonekana huna akili au umeamua tu kushangaza watu
hii nayo mpyaKuna wale wanaokutana na wapenzi wao wenye 'hogo' kubwa, wakishindiliwa hujamba na hata kimba hutoka kutokana na msukumo wa hogo ndani yao
sina mrengo wowote ule,hoja zangu ni very inquisitive na huchangamshacwatu dana na kuketa mawazo mapyaNi muda tu nilikuwa naona dalili ambazo si sahihi kwenye nyuzi zako. Nikamwambia mtu kuwa "huyu jamaa ndo basi tena ana mwelekeo wa mlengo wa kushoto" nlikuwa sahihi. Hii dunia imeharibika sana.