HahahaJesus Christ on the cross...!🥺🥺🥺
HahahaIsije kuwa ndo umekaa karibu na mimi Mkuu!
Maana naona hapa nilipo tumbo limejaa gesi kwa sababu ya vijambo vyako, hebu jaribu kuwa msitaarabu basi.
Kuna sehemu za kwenda kujambia.
Na utaratibu ni kwamba, ukimaliza kujamba, unatawaza kwa maji.
HahahaMungu aingilie kati hiki kizazi aiseeee
DeterminantorJf inazidi kutumbukia shimoni
Halafu wewe ulisema una miaka 60!
DaaahNi kweli ni ngumu kuhesabu,japo ukiweka nia unaweza,pia najaribu kufikiri kuwa huenda kujamba kunaweza kukuongezea kipato,iwapo italetwa teknolojia ya kuhifafhi gesi inayotokana na mifuzi,mifuzi ni kijana cha kitendo kujamba
Inaonyesha wamekujambia sana mekuHujakaa na wachina wewe, bado hujasema
Hujakaa na wachina wewe, bado hujasema
Muombe sana Mungu.. Utakombolewa kwa neemaOh hiyo nilikuwa sijui,maana mie sina uelewa mkubwa kuhusu masuala ya dini
JF kuna kila kituHahaha
Miss NatafutaJF kuna kila kitu