Unajamba mara ngapi kwa siku?

Status
Not open for further replies.
Isije kuwa ndo umekaa karibu na mimi Mkuu!
Maana naona hapa nilipo tumbo limejaa gesi kwa sababu ya vijambo vyako, hebu jaribu kuwa msitaarabu basi.
Kuna sehemu za kwenda kujambia.
Na utaratibu ni kwamba, ukimaliza kujamba, unatawaza kwa maji.
Hahaha

Cc Gily Gru
 
Ni kweli ni ngumu kuhesabu,japo ukiweka nia unaweza,pia najaribu kufikiri kuwa huenda kujamba kunaweza kukuongezea kipato,iwapo italetwa teknolojia ya kuhifafhi gesi inayotokana na mifuzi,mifuzi ni kijana cha kitendo kujamba
Daaah
 
Utopole.. Hii inakusaidia au kutusaidia nini? Kumbaff kabisa.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…