choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,081
- 3,831
Hujui kitu kuhusu Busisi wewe,Magari yanayokatiza kigamboni na kulipa ushuru kwa siku huwezi kulinganisha na magari yote yanayopita mkoa wa Manyara kwa Mwezi.
Labda uzungumzie daraja la Busisi sijui kama litakuwa na faida kama inavyotarajiwa. Lile lingejenga Kilomita nyingi za lami.
Dah! umenikumbusha mbali mabasi yalikuwa coastline na kimotco.Umenikumbusha Orkesumet mitaa yangu enzi nalima huko na lile libasi moja mnajazana na wamasai kama nyanya. Linakimbizwa balaa. Mitaa ya Nabelela. Cha ajabu kule ni karibu sana na arusha mjini lakini unalazimika kutembea masaa sita tena kwa mwendo mkali sababu barabara mbovu na mashamba yote yale na madini ule mlima Nabelela ni madini tupu bado kuna njia ya kutokea kondoa na inaunganisha mpaka wilaya ya Kilindi. Sielewi waafrika tuna matatizo gani.
Point is, ni project nzuri yenye manufaa.Wanalipishwa kwa sababu ya qliyetoa hela kujenga ni Pension Fund ila kama lingekuwa limejengwa na serkali bila ufadhili. wasingelipia na JPM bridge nadhani patakuwa kupita ni bure tu!
Miradi mingi kanda za huko huwa over hyped.Hujui kitu kuhusu Busisi wewe,
Kama miradi gani?Miradi mingi kanda za huko huwa over hyped.
Huo ndiyo ukweli.
Airport ya Chato.Kama miradi gani?
Ombeni badala ya kujengewa uwanja mjengewe barabara ila mtoa mada ametukosea sana watu wa Mwanza yeye angejikita kuilaumu serkali kurundika miradi Dar na kuiacha mikoa ikiwa na ubovu mkubwa wa miundombinu!Road ya kutoka mbauda hadi kwa morombo yenyewe haifai..
Uwanja atujengewi sisi iyo nimipango yao..Ombeni badala ya kujengewa uwanja mjengewe barabara ila mtoa mada ametukosea sana watu wa Mwanza yeye angejikita kuilaumu serkali kurundika miradi Dar na kuiacha mikoa ikiwa na ubovu mkubwa wa miundombinu!
Yani mkuu choice hiki kitu kinaniumaga sana. Na ni zaidi ya 15 trillion. Nigger needs redemption maamaee.Unatumia Trilioni 11 kujenga miundombinu ya reli ya umeme ndani ya km 722 tuu wakati 3/4 ya Nchi imejaa Barabara za matope ambapo hizo 11T zingepunguza tatizo Kwa zaidi ya 1/3.
Akili za mtu mweusi hizo.
Umeshashiba na kuvimbiwa hela za wizi na hilo lighorofa lako mbweni kukinyesha tu mafuriko.Uchumi hauko hivyo. Lazima kupima economic Impact ya mradi. Kwa hili la mradi wa reli nakupinga. Kuwepo kwa SGR kuta boost secta ya usafirishaji na uchumi wa nchi hivyo kuwa na fedha za kuleta maendele sehemu nyingine. Kupanga ni kuchagua
Wewe mwenye unaweza kuwa na pesa kidogo ukaamua kusomesha watoto kwanza kabla ya kujenga nyumba ya kuishi. Watu hawatakucheka kwanini unasomesha watoto wakati hauna nyumba.
Mitaa ya dogo Chaliifrancisco anapolima ngwala na dengu na kuchunga mbusii.Umenikumbusha Orkesumet mitaa yangu enzi nalima huko na lile libasi moja mnajazana na wamasai kama nyanya. Linakimbizwa balaa. Mitaa ya Nabelela. Cha ajabu kule ni karibu sana na arusha mjini lakini unalazimika kutembea masaa sita tena kwa mwendo mkali sababu barabara mbovu na mashamba yote yale na madini ule mlima Nabelela ni madini tupu bado kuna njia ya kutokea kondoa na inaunganisha mpaka wilaya ya Kilindi. Sielewi waafrika tuna matatizo gani.
Ukiisha hamtaenda kuangalia michezo na kufanya biashara?Uwanja atujengewi sisi iyo nimipango yao..
Karne hii kutokua na SGR n backwardsness ya hali ya juu.Unatumia Trilioni 11 kujenga miundombinu ya reli ya umeme ndani ya km 722 tuu wakati 3/4 ya Nchi imejaa Barabara za matope ambapo hizo 11T zingepunguza tatizo Kwa zaidi ya 1/3.
Akili za mtu mweusi hizo.
Tutaenda ila road nizamuhmu kuliko mpiraUkiisha hamtaenda kuangalia michezo na kufanya biashara?
Na sisis Daraja la JPM ni mipango yao!
Huwezi jenga barabara ambayo hairudishi hela!!Tutaenda ila road nizamuhmu kuliko mpira
Umenikumbusha Orkesumet mitaa yangu enzi nalima huko na lile libasi moja mnajazana na wamasai kama nyanya. Linakimbizwa balaa. Mitaa ya Nabelela. Cha ajabu kule ni karibu sana na arusha mjini lakini unalazimika kutembea masaa sita tena kwa mwendo mkali sababu barabara mbovu na mashamba yote yale na madini ule mlima Nabelela ni madini tupu bado kuna njia ya kutokea kondoa na inaunganisha mpaka wilaya ya Kilindi. Sielewi waafrika tuna matatizo gani.
Hiyo njia Mirongo, Komolo, Naberera, Terat mpaka Namalulu asee hamna barabara humo ni kituko. Hiyo njia huwa tunapita na tractor kutoka Arusha kuja kutoboa kufika Langai ni karibia masaa 12 sehemu tu ambayo haina hata kilometer 200, na hapo tukifika Komolo tunapita shortcut ni kama kuitafuta Landanai, yani ni almost mnapita tu vichakani.Mitaa ya dogo Chaliifrancisco anapolima ngwala na dengu na kuchunga mbusii.
Wakulima wako Mbeya,Iringa,Kahama na Mpanda huko hakuna kitu bhana!Hiyo njia Mirongo, Komolo, Naberera, Terat mpaka Namalulu asee hamna barabara humo ni kituko. Hiyo njia huwa tunapita na tractor kutoka Arusha kuja kutoboa kufika Langai ni karibia masaa 12 sehemu tu ambayo haina hata kilometer 200, na hapo tukifika Komolo tunapita shortcut ni kama kuitafuta Landanai, yani ni almost mnapita tu vichakani.
Wakulima kutoka Arusha tunaolima huo ukanda tunatumia gharama kubwa sana kisa uzembe wa serikali.
HayaWakulima wako Mbeya,Iringa,Kahama na Mpanda huko hakuna kitu bhana!