Unajenga barabara juu ya maji wakati ndani ya nchi kwa mfano Arusha -Kiteto barabara ni mbaya sana kuna gari moja tu

Unajenga barabara juu ya maji wakati ndani ya nchi kwa mfano Arusha -Kiteto barabara ni mbaya sana kuna gari moja tu

Wamasai ni jamii inayosahaulika sana.

Hapo Arusha mjini penyewe hakuna stand ya mabasi na afcon ipo njiani kuja.


Ni kweli maeneo mengi ya nchi yetu bado suala la miundombinu ni changamoto na serikali sikivu inatambua hilo na inapambana usiku na mchana kutatua hilo hata nyie ni mashahidi.

Nchi yetu kijografia ni kubwa sana na maeneo yametawanyika mno ila bado kimiundombinu serikali ya Ccm imepambana kiasi chake kurekebisha hilo (ipeni maua yake)..... Watanzania endeleeni kuishauri vyema serikali yenu kama mnavyofanya Sasa Ili kuboresha utendaji wake ... hongereni
 
Bara bara ya Tabora inayounganisha Mbeya bado ni vumbi na inasababisha ajali sana kwa hizo Bus za AN na jamaa zake bus linakimbia na fusso nayo imepakia zaga zake inakimbia kwenye bara bara moja ambayo kupishana gari moja inatakiwa lisimame huko na Vumbi la kutosha juzi limeanguka hilo AN na kuua baadhi ya abiria kisa bara bara mbovu na magari machakavu ambayo inabidi yapite huko..
Kweli mkuu, hoi barabara ni kimeo sana nilishawahi pita.
Kama wangeitengeneza ina tija sana katika kukuza uchumi, maana hoi ni rahisi kuunganisha Nyanda za juu kusini na Kanda ya ziwa.
 
Yani mkuu choice hiki kitu kinaniumaga sana. Na ni zaidi ya 15 trillion. Nigger needs redemption maamaee.
Hata Mimi,Kwa sababu thmetumia pesa nyingi kwenye mradi wa kupigia picha.

Hizo pesa zingeingia kwenye Barabara ni Ajira ngapi zingezalishwa? Ni pesa kiasi gani ingeingia kwenye mzunguko na ni Uchumi kiasi gani tungeufungua huko Mikoani? Inaudhi sana .
 
Umenikumbusha Orkesumet mitaa yangu enzi nalima huko na lile libasi moja mnajazana na wamasai kama nyanya. Linakimbizwa balaa. Mitaa ya Nabelela. Cha ajabu kule ni karibu sana na arusha mjini lakini unalazimika kutembea masaa sita tena kwa mwendo mkali sababu barabara mbovu na mashamba yote yale na madini ule mlima Nabelela ni madini tupu bado kuna njia ya kutokea kondoa na inaunganisha mpaka wilaya ya Kilindi. Sielewi waafrika tuna matatizo gani.
Hakuna ubaguzi ni vipaombele vya kiuchumi vinaangaliwa vianze vingine vitafuata.
 
Remember resources are limited we need to priotize our priorities kwahyo viongozi wako waliona kujenga madaraja ni best optional kuliko barabara lkn ata hvyo madaraja lazma yaunganishwe na barabara. So just be calm ur time will come.
Unamueleza ukiwa TANZANITE bridge au Mbulu wilayani?
 
Kuzaliwa Afrika ni Laana
Hata kama wangejenga msingekosa la kusema!
Bora kufanya tu kwa maana hata USA saizi wameanza phase ya kubotesha miundombinu!
Kwa hiyo hata ufanye nini wanadamu hawawezi kuridhika,hivo vipaumbele mnavisema kwenye barabara hata madaraja ni mojawapo ya sehemu za barabara!
 
Wanakazana kuacha majina badala ya kusaidia wananchi wao .
 
Iko hivyo sehemu kubwa ya Nchi sio Simanjiro pekee.

Hapo Sasa ndio anzeni kushangilia SGR
Na ile reli ya Tazara ni bora isingejengwa imetutia kwenye madeni makubwa na faida ya hiyo reli hata hatuoni.
 
Huyo mnafiki daraja lingekuwa huko Arusha asingeongea ila kwa vile liko Mwanza unaona anarukaruka hapa kama maharage ya Mbeya!
Kwanza hata Busisi hajawahi kufika akaona wingi wa magari na watu wanaovuka hapo kwa siku!
Hata mimi nimeshamwelewa sana kwa unafiki wao hawa watu sio, uwanja wa bilion 350 hawjaona, mradi wa maji wa bilion 520 hawajaona na conference na satellites citie za mabilion ya pesa hawayasemi.
 
Wamasai ni jamii inayosahaulika sana.

Hapo Arusha mjini penyewe hakuna stand ya mabasi na afcon ipo njiani kuja.
Stendi za mabasi ndio zinaongeza nini kwa mashabiki wa mpira, ilo li uwanja linafaida gani baada ya mashindano kuisha?
 
Kuna miradi binafsi uwa naiona ni mipango tu ya mtu kujipatia fedha tu wenyewe wanaiita miradi ya kimkakati lakini nionavyo mkakati wenyewe unakuwa wizi na rushwa tu.
 
Unaijua
Magari yanayokatiza kigamboni na kulipa ushuru kwa siku huwezi kulinganisha na magari yote yanayopita mkoa wa Manyara kwa Mwezi.
Labda uzungumzie daraja la Busisi sijui kama litakuwa na faida kama inavyotarajiwa. Lile lingejenga Kilomita nyingi za lami.
Population inayopita daraja la Busisi unaijua?.
 
Back
Top Bottom