Unajiandaaje na maisha ya uzeeni?

Kula vyako. Warithi hawana shukrani.
 
Yaan leo tu nilikua nawaza jambo hili naingia jf nakutana mada kama hii.Nimewaza sana vibanda vyangu vya mjini nitavipangisha vyote baada ya kumaliza kuvifanyia finishing.
Nataka niende kati ya mbeya ama Songwe ninunue shamba lenye miti tayari nifuge nikisubiri kifo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…