Unajifunza nini kupitia picha hii?

Unajifunza nini kupitia picha hii?

Kalaga Baho Nongwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2020
Posts
9,953
Reaction score
23,150
Asee 🤔

Tupia neno moja kwa kuangalia picha hii.. kuna mengi sana yamejificha hapo.

Screenshot_20240822_174355_WhatsAppBusiness.jpg
 
Kuna namna inaweza kutumika jamaa hawa wa sales wakafanya harakat z tuma kwa namba hii?
sasa zile namba unazani zinapatikanaje... iko hivi.. nakusajilia mpaka mwisho nakwambia mtandao unasumbua ila ukweli ni kwamba ussjili ilikamilika, hapo anakua kapata line ya kuiuza kwa tapel. ndio maana tunasisitizwa kukagua mara kwa mara namba zetu za NIDA zimesanili namba zp. usiyoijua futa fasta.
 
Kabisa mkuu.. Tatizo vijana wengi hatuamini kuanza vibiashara vidogovidogo.. Hata kama kuna ugumu, Lakini cha kwako unakua!!

Akili imeganda kwenye kutafuta ajira..
Hii ni barrier kubwa sana, although shida inabebana na shida watu wakisema hawana mitaji waeleweke vizur. Ndo mana tunataka serikali iwe na miradi strong endelevu ya kuempower vijana kwa life and behaviral skils.. ule mradi wa BBT kilimo wa Yule jamaa umeusikia ulipoishia?
 
sasa zile namba unazani zinapatikanaje... iko hivi.. nakusajilia mpaka mwisho nakwambia mtandao unasumbua ila ukweli ni kwamba ussjili ilikamilika, hapo anakua kapata line ya kuiuza kwa tapel. ndio maana tunasisitizwa kukagua mara kwa mara namba zetu za NIDA zimesanili namba zp. usiyoijua futa fasta.
Tunaangaliaje mkuu!
 
Back
Top Bottom