Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Asee 🤔
Tupia neno moja kwa kuangalia picha hii.. kuna mengi sana yamejificha hapo.
Tupia neno moja kwa kuangalia picha hii.. kuna mengi sana yamejificha hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inakuaje kuaje hizi.. mbona hali za wqfanyakaz kama wasambaza mapoti ya cello mitaanihii michongo huwa ina promo za uongo sana . unahakikishia mafanikio ila ukiingia field unaona bora ungegoma. ila Tutaishi vipi kama Weusi?
Pesa ya facilitation inatoka au? Kama nauli hiv hel ya chai?unslipwa kwa idadi ya utakaowahudumia.. cheki location slipo mshkaji unadhan kwa siku atahudimia wangapi?
Jamaa anasajili line za simu,lakini Moja haikai wala2haisomeki!Asee 🤔
Tupia neno moja kwa kuangalia picha hii.. kuna mengi sana yamejificha hapo
Hapo mnaenda kiteam... so mnapofanya vizuri kamishen inakuwepo but haikidhi.. wajanja wa hizi kazi ndio hucheza na wazee wa Tuma kwenye namba hii angalau wasikose kabisa..Pesa ya facilitation inatoka au? Kama nauli hiv hel ya chai?
Hapo usishangae ana mtoto mdogo baba kamkataaJamaa anasajili line za simu,lakini Moja haikai wala2haisomeki!
Kuna namna inaweza kutumika jamaa hawa wa sales wakafanya harakat z tuma kwa namba hii?Hapo mnaenda kiteam... so mnapofanya vizuri kamishen inakuwepo but haikidhi.. wajanja wa hizi kazi ndio hucheza na wazee wa Tuma kwenye namba hii angalau wasikose kabisa..
Mi naona vijijin na sub urban kumezidiHali ni tete kitaani ..
Kabisa mkuu.. Tatizo vijana wengi hatuamini kuanza vibiashara vidogovidogo.. Hata kama kuna ugumu, Lakini cha kwako unakua!!Mi naona vijijin na sub urban kumezidi
sasa zile namba unazani zinapatikanaje... iko hivi.. nakusajilia mpaka mwisho nakwambia mtandao unasumbua ila ukweli ni kwamba ussjili ilikamilika, hapo anakua kapata line ya kuiuza kwa tapel. ndio maana tunasisitizwa kukagua mara kwa mara namba zetu za NIDA zimesanili namba zp. usiyoijua futa fasta.Kuna namna inaweza kutumika jamaa hawa wa sales wakafanya harakat z tuma kwa namba hii?
Hii ni barrier kubwa sana, although shida inabebana na shida watu wakisema hawana mitaji waeleweke vizur. Ndo mana tunataka serikali iwe na miradi strong endelevu ya kuempower vijana kwa life and behaviral skils.. ule mradi wa BBT kilimo wa Yule jamaa umeusikia ulipoishia?Kabisa mkuu.. Tatizo vijana wengi hatuamini kuanza vibiashara vidogovidogo.. Hata kama kuna ugumu, Lakini cha kwako unakua!!
Akili imeganda kwenye kutafuta ajira..
Tunaangaliaje mkuu!sasa zile namba unazani zinapatikanaje... iko hivi.. nakusajilia mpaka mwisho nakwambia mtandao unasumbua ila ukweli ni kwamba ussjili ilikamilika, hapo anakua kapata line ya kuiuza kwa tapel. ndio maana tunasisitizwa kukagua mara kwa mara namba zetu za NIDA zimesanili namba zp. usiyoijua futa fasta.
Nyota, Mia Moja Na Sita, Reli! *106#Tunaangaliaje mkuu!